Do local use them if yes, why Nairobi nzima kila picha mmevaa kama Team Makoti ya Miso Missondo, Mnalia njaa why wakati mpo na bigger tech ya kufacilitate upatikanaji wa vitu, Alafu E Commerce inauza FMCG, Nyie Kenya mlichagua mfumo wa Supermarket, ambao ni kama umehamia Online, sasa unataka bongo tufanyeje, kila mtaa unakuta una maduka ya FMCG za kutosha,
Purchasing power ya nyoko we mwenyewe hapo huna uhakika na msosi na ukiona bei za msosi wa kuagiza mnakimbia, mwisho mnaishia kubebesha Delivery Roboti Ugali wa Kijani (oyoo wazoefu
NDINDA Geza Ulole ichoboy01 Sama boy 255 kuna ugali wa Kenya unachanganywa na kila kitu mboga humo humo mpaka rangi inakua kijani nimesahau jina mnisaidie)
Eeeh nimekumbuka MOKIMOOOOOOOOOOO
MOKIMOOOOOOOOO