Apeche alolo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2023
- 2,619
- 5,789
ndiyo mwingereza ni nini msichojikweza? ndio mana nchi inajawa na laana mnakufa njaa na bado hamjui makosa yapo wapi mnaishi maisha magumu sana na bado hamjui shida ni nini sasa jiagalieni hata na uganda wana njaa kama nyie? hell no.Tz is far behind Kenya in anything commerce. Hata kwa retail space hawaezifika hata half of what Kenya does. Nimeona mwingine alisema ati sijui Afromart is bigger than any retail store in Kenya, after kumuliza the number of outlets kamepotea.