Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,900
- 103,770
Walidai hamna double-decker itapita!Hivi nyie nyangau mnauona huo mzigo wa gorofa hapo au mnapita kimya kimya 🤣🤣🤣
Walidai hamna double-decker itapita!Hivi nyie nyangau mnauona huo mzigo wa gorofa hapo au mnapita kimya kimya 🤣🤣🤣
Ni kweli kabisa maana hata Wakunya wenyewe wanajua kuwa Tzn ni 🔥🔥ila sijajua hao Rand wa South Africa wanatoa wapi hizi taarifa ikiwa source zingine zinaweka Tanzania kwenye top 5 Kwa miaka ya karibuni.Hii list naweza kukubaliana na hiyo top 3 tu, nchi zilizobaki haziwezi kuishinda Tz hata kwa dawa.
volume of investment speaks for itself!Hii list naweza kukubaliana na hiyo top 3 tu, nchi zilizobaki haziwezi kuishinda Tz hata kwa dawa.
Ni kweli kabisa maana hata Wakunya wenyewe wanajua kuwa Tzn ni 🔥🔥ila sijajua hao Rand wa South Africa wanatoa wapi hizi taarifa ikiwa source zingine zinaweka Tanzania kwenye top 5 Kwa miaka ya karibuni.
Kuna hii hapa pia Kwamba imechukua average ya miaka 10 Iliyopita
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1730627695447302329?t=wQPZswCIUSZQW31_h29cEQ&s=19
Ni kweli kabisa maana hata Wakunya wenyewe wanajua kuwa Tzn ni 🔥🔥ila sijajua hao Rand wa South Africa wanatoa wapi hizi taarifa ikiwa source zingine zinaweka Tanzania kwenye top 5 Kwa miaka ya karibuni.
Kuna hii hapa pia Kwamba imechukua average ya miaka 10 Iliyopita
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1730627695447302329?t=wQPZswCIUSZQW31_h29cEQ&s=19
Mwaka juzi baada ya pesa ya EACOP walitupita Kwa value of projectUganda haijawahi kutupita tangu uhuru wake!
Ila hiZi taarifa za kutudogoisha jamaa wanazitoa kimkakati sio bure.. kenya ni jirani ambae ni adui yetu mkubwa kabisa, katika washenzi hatufai kuchekanao basi ni wao... Wao wanajua dunia ikijuw ukweli kuhusu what happening in Tz foreign investments zote zilizowekeza kwao zita'shift capitals zao to Tz kwahyo ni bora kwao kutukandia in so many ways ili apate nafuukuna wakenya wapo humo ndani!
One thing that Ruto is quite serious about is Affordable housing projects and Social Housing Projects.
Kibera Soweto and Mukuru housing projects are among the biggest housing projects in Africa currently.
I got opportunity to check on Jivanjee Gardens
View: https://youtu.be/D7CK2XLnDtM?si=QABp2lbz4_vvfJ_S
One thing that Ruto is quite serious about is Affordable housing projects and Social Housing Projects.
Kibera Soweto and Mukuru housing projects are among the biggest housing projects in Africa currently.
I got opportunity to check on Jivanjee Gardens
View: https://youtu.be/D7CK2XLnDtM?si=QABp2lbz4_vvfJ_S
Huyo jamaa ni chizi huyoBiggest in Africa au siyo? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Value please
Manzese kabla ya BRT indeed.manzese enzi hizo kbla hata ya BRT huna aibu nenda kalete picha la leo 2023