Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Reli yetu iko designed for speeds up to 250kph but mahitaji yetu kwa wakati huu ni 160kph future generations watanunua locomotives and trains za speed ya juu kulingana na mahitaji yao bila kubadilisha mifumo ya reli yenyewe.
Now ni 180km/hr max. speed. Tunategemea pax electric train kukimbia mpk 200km/hr, always big brain 🧠💪.
 
Your design capacity is 160km/hr. Ama unataka nikuonyeshe?
Nakuonesha wewe sasa, nenda kalilie kwa choo 🤣😂😂😂😂😂😂
Screenshot_20231130-150348_YouTube.jpg
 
Sasa kama unavyotaka wewe kwamba rail imekuwa designed with capacity of 160km/h then how was this possible.? 👇View attachment 2830155mana hiyo dashboard inasoma 180 hapo.. acha wivu kubali ukweli move on.
That was possible because it was only one train on that line. When the test was done there was no frequency put in mind. Once all trains will start using that line I doubt if the trains will go past 140km/h. Kenyan trains can go up to 157km/h by the way.
 
That was possible because it was only one train on that line. When the test was done there was no frequency put in mind. Once all trains will start using that line I doubt if the trains will go past 140km/h. Kenyan trains can go up to 157km/h by the way.
🤣🤣🤣 Heb weka sawa kwanza, reli yenu ipo designed kutembea kwa speed hii 120km/h wacha kuchanganya madawa.

Sasa inawezekana vipi reli iliyokuwa designed kutembea 160 ipitilize hadi 180.? Hii ndio kwanza naiskia kwako 🤣🤣🤣 unatoa lame excuse eti kwasababu train ipo moja kwa kwenye line, mara ohh sijui ..! 🤣🤣🤣🤣 Wewe ni Mpumbavu
 
Tai gas uniwezi wewe endelea kuuchuna tyu uko ulipo umethibitisha auna balls za kunijibu.... stay silent... and R.I.P
 
Back
Top Bottom