Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,866
- 103,718
Evidence ya unachosema?Is this a railway track ama msitu? Again you were saying those trains have a speed of up to 250km/h kumbe ni tu 180km/h
Evidence ya unachosema?Is this a railway track ama msitu? Again you were saying those trains have a speed of up to 250km/h kumbe ni tu 180km/h
One word. Shungwaya. Google it.We don't want to force, kiswahili is already ours!
This bus got accident along Migori route. So instead of Tahmeed kuirudisha Master hao waliamua kujifanya in-house refurbishing. Now those are the outcome.
Sijawahi kuona haya maajabu duniani ni kwenu tu nyie vima 🤣🤣🤣 inawezekana vipi wewe kima unaijufunza matamshi/kuongea Kiswahili ubishane na mwenye lugha yake.?One word. Shungwaya. Google it.
Kumbe mseleKumbe ni mnazi wa basi!
Now muelewe sasa ule ubishi wa kulazimisha kwenye hamna umetoka wapi. 😂😂😂
View attachment 2830077
Sio wanajitetea ila wanaumia sana hiyo ni Mama mgina source 😅😅😅😅Mzeya unajua jitetea wewe, tupe source of your informations
But maximum is 180km/h is you can read the meter properly.View attachment 2829929
Tuliwaambia hii reli imesanifiwa treni kwenda hadi 200km/hr, vichwa tulivyo nunua ndiyo vina kwenda 160km/hr. Ona hapo wakifanya majaribio ya 176km/hr (109 mph).
Alafu kuna zuzu flan anaongea ni 137 pumbavu mtu ajui kusoma ata speed meter elimu inahitajikambarawa aliwah kusema kuna baadhi ya sehemu train itaenda mpaka zaidi 200km/hr
Na sasa ndio nimeamini 🔥🔥🔥🔥
Chapa mbwa iyo ya canopy manSio wewe uliyesema speed haitazidi 100kph now umeshahamisha magoli tayari kwenye 180kph. Na hapo bado inaenda mpaka 205kph
But that will not stop the rail allwing he train moving at 200km/h! who knows if the PAX locomotives will be having that capacity i.e. to cruise at 200 km/h?But maximum is 180km/h is you can read the meter properly.
Kwa hicho kichwa ni kweli muximum speed ni 180km/hBut maximum is 180km/h is you can read the meter properly.
DARASA huru 😁 😁 😁Kiswahili ni lugha ya kigeni kivipi? Hebu tuambie kinafanana vipi kimuundo na lugha za romance (French, Spanish) au Germanic (English, Dutch) au Slavic (Russian) au Semitic (Arabic, Amharic, Hebrew)?
Ila naweza kukupa mifano chungu mzima kukuonesha jinsi Kiswahili kinavyo fanana na lugha za kibantu kama Kizulu au Kishona au Kigogo, Kimakonde, Kichaga, Kikongo na kikikuyu.
Show us.Kwa hicho kichwa ni kweli muximum speed ni 180km/h View attachment 2830130lakini kwa mujibu wa kandarasi ni kwamba reli yetu ipo designed ku handle train inayokimbia hata 230km/h
Sikubaliani na wewe watoto wanapenda rangi za kung'ara siku zote akuna uhusiano na masuala hayo...View attachment 2829923
ChoiceVariable hivi serikali hii imebariki sera za ushoga katika hospitali za watoto? Hawa jamaa wako very strategic na wanamahesabu na kizazi cha baadae.
Mimi mnanikera sana nyie jamaa, mbona kila siku mnauliza jambo lile lile.? mkijibiwa mnajisahaulisha mnarudi tena kuuliza.Show us.
Now wamebadilisha wanataka kuona 250km/hrMimi mnanikera sana nyie jamaa, mbona kila siku mnauliza jambo lile lile.? mkijibiwa mnajisahaulisha mnarudi tena kuuliza.
Uoneshwe mara ngapi wewe tomaso.Show us.