Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Screenshot_20231130-150348_YouTube.jpg

Sasa huo wivu kweli!? Wewe mwenyewe tafakari. In Kenya 120km/h loaded. This one kichwa pekee 137km/h. Wapi na wapi!?

Tuliwaambia hii reli imesanifiwa treni kwenda hadi 200km/hr, vichwa tulivyo nunua ndiyo vina kwenda 160km/hr. Ona hapo wakifanya majaribio ya 176km/hr (109 mph).
 
Which lane?
Is Baba an African word?
What about mama?
What about Dunia?
Na Ulimwengu?
Niliona cheti chako cha shule umepata A nyingi sana kumbe
hazijakusaidia kitu

Wacha nikupige shule kidogo

Kwenye soma la kiingereza kuna mada inaitwa process of word formation (njia za uundaji wa maneno)

Ambapo kuna aina kadhaa za word formation, which are:-

Reduplication
Borrowing
Affixation
Acronym
Back word formation
Compaunding
etc

Hivyo, njia iliyotumika kuunda hayo maneno uliyotaja ni borrowing process of word formation of which lugha nyingi duniani hutumia njia hiyo ili kujitosheleza ki misamiati which is very normal.

Maneno mengine ya Kiswahili ambayo yamekopwa kutoka kwenye lugha nyingine ni:-
Hijabu (hijab)
Treni (train)
Reli (rail)
N.k

Please usituchoshe ukitaka kujua mengi zaidi lipa ada nitakufundisha otherwise kaa kimya, know your lane then chill.
 
Niliona cheti chako cha shule umepata A nyingi sana kumbe
hazijakusaidia kitu

Wacha nikupige shule kidogo

Kwenye soma la kiingereza kuna mada inaitwa process of word formation (njia za uundaji wa maneno)

Ambapo kuna aina kadhaa za word formation, which are:-

Reduplication
Borrowing
Affixation
Acronym
Back word formation
Compaunding
etc

Hivyo, njia iliyotumika kuunda hayo maneno uliyotaja ni borrowing process of word formation of which lugha nyingi duniani hutumia njia hiyo ili kujitosheleza ki misamiati which is very normal.

Maneno mengine ya Kiswahili ambayo yamekopwa kutoka kwenye lugha nyingine ni:-
Hijabu (hijab)
Treni (train)
Reli (rail)
N.k

Please usituchoshe ukitaka kujua mengi zaidi lipa ada nitakufundisha otherwise kaa kimya, know your lane then chill.
Achana naye huyo nyang'au kichwa maji😁😁😁
 
Kiswahili is a foreign language with a combination of Arabic, Hindi, German, Portuguese etc. Again there's nowhere I said English is my mother tongue, I'm only using it so that you can understand what I'm saying. No Kenyan here has ever bragged of English as their language.
Kiswahili ni lugha ya kigeni kivipi? Hebu tuambie kinafanana vipi kimuundo na lugha za romance (French, Spanish) au Germanic (English, Dutch) au Slavic (Russian) au Semitic (Arabic, Amharic, Hebrew)?

Ila naweza kukupa mifano chungu mzima kukuonesha jinsi Kiswahili kinavyo fanana na lugha za kibantu kama Kizulu au Kishona au Kigogo, Kimakonde, Kichaga, Kikongo na kikikuyu.
 
Kiswahili ni lugha ya kigeni kivipi? Hebu tuambie kinafanana vipi kimuundo na lugha za romance (French, Spanish) au Germanic (English, Dutch) au Slavic (Russian) au Semitic (Arabic, Amharic, Hebrew)?

Ila naweza kukupa mifano chungu mzima kukuonesha jinsi Kiswahili kinavyo fanana na lugha za kibantu kama Kizulu au Kishona au Kigogo, Kimakonde, Kichaga, Kikongo na kikikuyu.
Hii ni mada pana sana, hatawahi kukuelewa hadi siku akifa.. nadhani yeye ajikite kwenye kujifunza kuongea Kiswahili tu, huku atuachie sisi weledi wa lugha. He's the major underdog atakusumbua mno..
 
Unahangaika kupost picha ya kitu hata akionekani eti ili upate faraja 🤣🤣🤣. Maumivu yapo pale pale mzee 👇View attachment 2829707View attachment 2829708View attachment 2829709View attachment 2829710View attachment 2829711the one and only world class airport in the region.
Hatunaga kazi mbovu! sisi, Ududu mwingi sana!They should come and experience that facility from regulated standard temperature and lights to world class look and touches, Sauti Sol wenyewe walizima fegi 🚬
 
How has that helped you escape the web of poverty?… you still remain one of the poorest nations on earth…. Kenya hatuko hio list…facts!
Lakini Kenya ndo nchi pekee tajiri duniani ambayo wananchi wake wanakufa njaa huku kazi kubwa ya rais wao ni kuomba misaada ya chakula na ajira nje ya nchi
 
We can only communicate using two languages here. One is English and the other is that confused language. If you could understand my mother tongue I would address you using it. Unfortunately you don't.
Your mother tongue is corrupted Swahili as it uses most of the bantu words which are unfortunately used in swahili pia.
 
Back
Top Bottom