Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

It shows poverty.
Everything hapo inaonyesha umaskini

US kila worker anatoka na gari yake Tena gari ya maana.
China ndio ifike level za US lazma wawe na economy ×4 ya US.
HUWEZI KUWA superpower na per Capita less than 15k!!!!!
Acha upumbavu kuwa na gari sio sifa embu imagine hao wote wangekuja na magari wangepaki wapi na pia hiyo traffic ingekuwaje plus wanatunza mazingira.
Hiyo concept wewe mpikia kuni sitarajii uelewe hata kidogo.
 
Manyangau walisema humu ndani piga ua Somalia haingii EA wataweka Veto 🤣🤣🤣

Receipt hii hapa 👇

Wewe nilishakuambia kwamba Somalia haiwezi kuingia EAC kwa sababu Kenya ita-veto hio decision. Ujue hakuna jinsi nchi mpya itaingia EAC ikiwa nchi yoyote itapinga. Kwa hivyo Somalia haiwezi kuingia EAC ikiwa Kenya itakataa. Decisions za EAC zinafanywa kutumia concensus yaani makubaliano. Hakuna kutumia kifua kwenye EAC lazima kila nchi ikubali ili jambo fulani lifanyike. Somalia haitaingia EAC. Simple tu. Somalia ni maadui wetu wa jadi na hatuwezi kukaa kwenye nyumba moja na wao.
 
Send me the link to the information you shared earlier so I can take a closer look at it
Wala huna haja ya kuhangaika na hiyo taarifa yake, ukitaka kujua how better we are in entertainment we pitia tu YouTube Kenya utaona vile wasanii wa Tz wanavyo trend hadi no 1 .. pitia movies za kitanzania huko YouTube uone walivyojazana kujiponda na kutupea maua yetu.. yani kiukweli huyo teargas ni mpumbavu sana huyo sio wa kubishananae.
 
Anayekupigia kelele za Netflix unaweza kuta wala huwa halipii anawasumbua tu bure humu.
Ni masikini ndio maana kuna kipindi Netflix waliwapa wawe wanatumia bure bila kulipia. 😂😂😂
View attachment 2825130
Kama huna Netflix jiongelee. Kwanza free subscription iliisha kitambo sana huku Kenya.

IMG_20231126_111655_238.jpg
IMG_20231126_111806_650.jpg
 
Stop increasing carbon emissions idiots, kivipi vigari vya delivery mnavimolest kuwa for intercity transport? Mafukara nyie hamna pesa za kununua professional buses, ni either mafuso au delivery carts 😂😂😂
Professional buses ni zile fake Chinese boxes mnanunua? So you want to tell an investor can afford to use ksh264M on 60 shuttles but can use the same money which is enough to buy 20 Chinese buses?😂😂😂
 
Ila we jamaa unatunza simu si mchezo, hii simu unayo tangu mwaka juzi mpk leo unayo, huwa haina chaji siku zote, alafu ukiangalia vizuri utagundua hii ni simu jamii ya Tecno, hongera.View attachment 2825236
So siku hizi watu wanawezajua make ya simu and how long it has been in operation by just looking at a screenshot image captured by that phone? How dumb!!

Where did you learn this bongolala? I would love to enroll for classes.

Talking of phones, unaongea wakati wewe ni wa kununua bando wakati huyo jamaa anatumia WiFi kwake. Huoni hata aibu?

Kitu kingine angalia network strength kati ya simu yako na yake. Says so much you don't know what you are talking about

Alafu screenshot yako inaonyesha simu umeweka vibration kama mwizi!!
 
So siku hizi watu wanawezajua make ya simu and how long it has been in operation by just looking at a screenshot image captured by that phone? How dumb!!

Where did you learn this bongolala? I would love to enroll for classes.

Talking of phones, unaongea wakati wewe ni wa kununua bando wakati huyo jamaa anatumia WiFi kwake. Huoni hata aibu?

Alafu screenshot yako inaonyesha simu umeweka vibration kama mwizi!!
Most of these people are just dump, especially that watchman guy. I can remember in 2018 when they were saying that the WiFi I was using ilikuwa ya Uhuru Park.
 
Na bado mnakufa njaa kama panya 😂😂😂😂 mnazihitaji KFC million 30 njaa ikome
KFC is not for the poor, that's why I have said middle income. Alafu ebu niambie ni nani amekufa njaa this year.
 
Travelling with faeces kwa bus ni stupid sio je kwa Kenya Airways utaita nini? Kweli wewe ni kichaa 🤣🤣🤣
Kwa ndege where the toilet is and where the passengers are different. Again in the plane once it has been flashed the feaces move to lower side of the plane far away from where passengers are.
 
It shows poverty.
Everything hapo inaonyesha umaskini

US kila worker anatoka na gari yake Tena gari ya maana.
China ndio ifike level za US lazma wawe na economy ×4 ya US.
HUWEZI KUWA superpower na per Capita less than 15k!!!!!
Ushawah jiuliza kwann china ndio tishio kubea duniani?? Ushawah jiuliza kwann mzungu halali akimwaza mchina ??😅😅😅

Zamani tulikua tunaona nchi zote za middle east construction na kila kitu kilikua kinatoka europe au us siku hzi ni china products tu
 
Inaitwa convenience kijana sio nyie mnakojoa on the road side.
We have dedicated refreshment areas where buses stop and passengers can go the toilet and others can get something to eat.

From Nairobi going to Mombasa, all buses stops at Mtoto Andei.

From Nairobi going to Garissa all buses stops at Mwingi

From Nairobi going to Kisii all buses stops at Narok.

From Nairobi going to Kisumu all buses stops at Nakuru.
 
KFC is not for the poor, that's why I have said middle income. Alafu ebu niambie ni nani amekufa njaa this year.

Yani mtu aache kula chips kwa mpemba au kwa edo... Chips mazaga zaga kama yote mixer ukwaju akale hizo Kau Kau za Kentucky ambazo hata haushibi?

Njoo bongo ule chips za kitaa halafu ufananishe na hizo KFC zako...
 
Wala huna haja ya kuhangaika na hiyo taarifa yake, ukitaka kujua how better we are in entertainment we pitia tu YouTube Kenya utaona vile wasanii wa Tz wanavyo trend hadi no 1 .. pitia movies za kitanzania huko YouTube uone walivyojazana kujiponda na kutupea maua yetu.. yani kiukweli huyo teargas ni mpumbavu sana huyo sio wa kubishananae.
Tanzanians will forever remain idiots 😂😂😂. Who told you the strength of entertainment industry is determined by the YouTube number? Again those YouTube figures are only accelerated by Kenyans. Meaning entertainment is stronger in Kenya than Tz. Criteria used to determine the strength of entertainment industry is the revenues generated through entertainment. These revenues come from social media and traditional media channels like radio and TV stations and also through concerts and parties.
 
Yani mtu aache kula chips kwa mpemba au kwa edo... Chips mazaga zaga kama yote mixer ukwaju akale hizo Kau Kau za Kentucky ambazo hata haushibi?

Njoo bongo ule chips za kitaa halafu ufananishe na hizo KFC zako...
Hizo chips zenu ndio tunaita chips mwitu. Yani chips bandia, there's no quality control done when cooking them.
 
Back
Top Bottom