Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Wewe kima, Tahmeed huyo ni raia wa Tanga nimeshakutananae kwenye maulid mara kibao, namjua hadi kwake.. sasa sijaelewa wewe unaeishia kuona tu taarifa za kimtandaoni una lipi la kuniambia kumhusu yeye. Actually Tahmeed ni moja kati ya watu waliotoa mchango mkubwa katika kutengeneza mskiti wetu "Markaz" NOORILHUDA pale Donge Tanga. Sasa sijajua wewe mnuka mavi wa kibera utaniambia niniTahmeed is not owned by one person. The major shareholder of Tahmeed who owns the majority of buses is in Mombasa, huyo wenu wa Tanga is just a joyrider.