Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kisumu yote iko hivi [emoji849][emoji849]??
Sit down, relax and enjoy Kisumu

14673099_1337970711714054anneschefferleander202003061jpeg68149a377b620cda0116ea5a4c195ff1jpegj...jpg
14273127_img20210924100006_jpeg4eb90aa53ab60950a2cc4f79684d2e91.jpg
14798542_1641138016019_jpeg3dc5f6356c4f0a4c5ad78844eca0e592.jpg
14673098_1337970613339728walkingminjpeg373b6a151c0b5b9e8e66a221baa3ed78jpegjpeg1101b20a4fffb8e...jpg
14129826_fbimg16299212452144780_jpege8b9536a957b182b5b5d9556f12070b2.jpg
14798543_1641141431048_jpeg2243d34c63e16a82ff1373ccc0043b76.jpg
14798520_1641407581698_jpeg59b4acc596fb2b9f5c4f10f7f5b4fde3.jpg
14798569_1641139376533_jpegba41325a9d18ccaf6db1814ce457bebb.jpg
12741701_img20201125192801_jpeg5b641216244e6c2278ce3d1b27e61dd5.jpg
20220401_004343.jpg
20220401_004339.jpg
 
na mbona hamkujenga sasa ??🤣🤣🤣 munashindwa kujenga kwenu magorofa ya udongo yanadondoka kila siku
your national symbol of sovereignty and national unity was designed by Kenyan architects. no amount of kibera pictures will change that reality. you can kill yourself or live with that fact.
 
Anko watu ambao ni wenyeji tz ni makabila machache sana....
Ungejua hii nchi vzur hata usingehangaika na maubaguzi yenu
Heeeheee..................yani hivi Wahindi, Waajemi na Waarabu ni wengi Tanzania kuliko Wabantu na WaNilote? Heeheee🤣🤣🤣
 
Karibuni sana Somalia EAC ila Ugaidi uishie Nairobi na Mogadishu

View attachment 2175153
Wewe nilishakuambia kwamba Somalia haiwezi kuingia EAC kwa sababu Kenya ita-veto hio decision. Ujue hakuna jinsi nchi mpya itaingia EAC ikiwa nchi yoyote itapinga. Kwa hivyo Somalia haiwezi kuingia EAC ikiwa Kenya itakataa. Decisions za EAC zinafanywa kutumia concensus yaani makubaliano. Hakuna kutumia kifua kwenye EAC lazima kila nchi ikubali ili jambo fulani lifanyike. Somalia haitaingia EAC. Simple tu. Somalia ni maadui wetu wa jadi na hatuwezi kukaa kwenye nyumba moja na wao.
 
Heeeheee..................yani hivi Wahindi, Waajemi na Waarabu ni wengi Tanzania kuliko Wabantu na WaNilote? Heeheee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
That's one of the lame excuse I have ever heard [emoji23][emoji23][emoji1787]. Alafu kitu huwa inanifurahisha na hawa ni kwamba hawajawaikosa excuse [emoji1787][emoji23]
 
Wewe nilishakuambia kwamba Somalia haiwezi kuingia EAC kwa sababu Kenya ita-veto hio decision. Ujue hakuna jinsi nchi mpya itaingia EAC ikiwa nchi yoyote itapinga. Kwa hivyo Somalia haiwezi kuingia EAC ikiwa Kenya itakataa. Decisions za EAC zinafanywa kutumia concensus yaani makubaliano. Hakuna kutumia kifua kwenye EAC lazima kila nchi ikubali ili jambo fulani lifanyike. Somalia haitaingia EAC. Simple tu. Somalia ni maadui wetu wa jadi na hatuwezi kukaa kwenye nyumba moja na wao.
Kwa hiyo povu lako unaniletea mimi nifanyaje? Nimeweka tuu maelezo ya wanaoshughulikia admission ya Nchi inayo apply sasa hao ndio kawatolee povu sio mimi.
 
Kisumu yote iko hivi [emoji849][emoji849]??
just like blantyre, harare, bulawayo and pretoria.. kisumu&nakuru were purpose-built cities, during the colonial era, hence kisumu and nakuru, has the best planning in the entire east africa, infact nakuru was dubbed the cleanest city in EA in the 70s and 80s....


kisumu
20220321_161343.jpg
20220321_161352.jpg
20220321_162340.jpg
20220321_161125.jpg
20220129_155150.jpg
20220321_161308.jpg
20220321_161852.jpg
20220321_162025.jpg
20220321_162034.jpg
20220321_162059.jpg
20220321_162233.jpg
20220321_162240.jpg
20220321_162426.jpg
 
Back
Top Bottom