Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

arusha malangali beibee.....kama geneva aisee.....lol
arusha malangili.jpg
 
Nyie mnamidomo mirefu, tofauti na sisi, ni kama iko kwenye DNA.

Juzi hapa Simba tumefungwa ki aibu 5-1 lakini hukuona wanayanga kama ichoboy01 na The best 007 wakitunanga hapa, hivi ndivyo tulivyo waTz. (a civil society).
lol bro....over here you just have to pretend....umefyatu nini......i know of 3 facebook pages you guys roast each other a**es.so pliz bro...
 
we enda uulize nyanyako...nkt
Na ukithibitisha hapo ni mwanza sehem gani unitag nifunge acc 😅😅😅😅😅😅😅😅

Sasa kwann umekasirika ?? Unapanic kwann?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
deny this isnt mwanza for documentation purposes...let me see if you got any balls...lol
 

Dar tea auction goes live, picks 25pc out of Mombasa basket​



SATURDAY NOVEMBER 18 2023​


Mombasa tea auction

Officials attend a Mombasa tea auction in Kenya. PHOTO | NMG


General Image

By ANTHONY KITIMO
More by this Author

Tanzania this week held its first-ever tea auction in Dar es Salaam, concluding a five-year project that is expected to not only boost incomes for the country’s farmers but also see the Mombasa Tea Auction lose over 25 percent of its volumes.

Tanzania, a mid-tier East African tea producer, is banking on the lower cost of logistics with key high quality tea producers in the region to trade about 65,000 tonnes of tea weekly.

This is bad news for the Mombasa auction, the leading tea exporter in the world, which handles about 247,000 tonnes weekly.

Read more here



MY TAKE
Kelele za nn sasa?
 
Kama hamngekuwa na midomo mirefu hii thread haingekuweko.
Hii thread wkt inaanza ilikuwa ya kistaarabu sn, ilikuwa kwamba lete kitu kilichopo Kenya wabongo walete kilicho bongo tushindane, baadaye kama ilivyo tabia yenu ya kishamba ya kuzaliwa mkaanza kuleta kejeli na majivuno na kuita watz majina ya ajabu ajabu, na hamkuishia hapo mlienda mbali zaidi kwa kuwafuata watz popote walipo kwenye mitandao ya kijamii kuwatusi kila aina ya matusi, so from there mkawa mmeharibu maana ya uzi, ikabidi twende na tabia zenu za kishenzi kama mlivyo na ndiyo mnaona sasa matokeo yake, tunawanyoosha kweli kweli, imefika wakati popote pale alipo mtanzania mkenya hagusi hata kwa dawa, mana sisi katika kila jambo sisi ni mara kumi yenu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Alafu jana nimeiona timu ya Ivory coast imekuja Tanzania sijaelewa imekuja kufanya nini au imekuja kucheza na nani mana Benjamin Mkapa umeshakuwa uwanja wa Afrika nzima.
Japo nimechelewa kujibu sababu ya siku kuwa busy
Screenshot_20231119-210106_Goal News.jpg


Imekuja kucheza na simba club bingwa hio ni asec mimosa mechi jumamos ya keshokutwa
Burundi ilichagua BM stadium kucheza mechi zake za nyumbani!

Wote majibu yenu ni mazuri, lkn jibu sahihi ni hilo 👆 kwenye picha
 
Hii thread wkt inaanza ilikuwa ya kistaarabu sn, ilikuwa kwamba lete kitu kilichopo Kenya wabongo walete kilicho bongo tushindane, baadaye kama ilivyo tabia yenu ya kishamba ya kuzaliwa mkaanza kuleta kejeli na majivuno na kuita watz majina ya ajabu ajabu, na hamkuishia hapo mlienda mbali zaidi kwa kuwafuata watz popote walipo kwenye mitandao ya kijamii kuwatusi kila aina ya matusi, so from there mkawa mmeharibu maana ya uzi, ikabidi twende na tabia zenu za kishenzi kama mlivyo na ndiyo mnaona sasa matokeo yake, tunawanyoosha kweli kweli, imefika wakati popote pale alipo mtanzania mkenya hagusi hata kwa dawa, mana sisi katika kila jambo sisi ni mara kumi yenu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kwa ujinga ufukara na ushamba na hadithi za vijiweni hapo mmetushinda mara kumi...trophy ni yenu buda
 
Back
Top Bottom