Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nakumbuka wewe ulijipiga kifua kusema kwamba kwenye kundi lenu mtawapiga wote while sisi tutafungwa hatupati mechi hata moja 🤣🤣 vipi imekuaje leo..
It’s still early kilaza .. remember only ONE team per group qualifies and unfortunately in your group it won’t be you…I guarantee it…🤣🤣🤣🤣🤣
 
Eti city hii 🤣🤣🤣🤣🤣 aibu tupu manyuzi


 
Rais wa romania kasafiri kutoka dar kuja znz kwa kutumia meli ya azam kilimanjaro 8
Screenshots_2023-11-19-22-31-04.png
Screenshots_2023-11-19-22-31-15.png
 
kwa ujinga ufukara na ushamba na hadithi za vijiweni hapo mmetushinda mara kumi...trophy ni yenu buda
1. Ujinga Kenya ni 10 times more than Tanzania, no wonder since uhuru mpk leo mmeshindwa kutafuta suluhu ya chakula.

2. Ufukara mnatuzidi kwa mbali, no wonder mna host li slum kubwa zaidi duniani.

3. Ushamba, Kenya haina mpinzani, no wonder mlifanya sherehe ya kitaifa kusherehekea ushindi wa rais wa Marekani wakati hawahusu.

4. Stori za vijiweni, wakenya mnaongoza huko mitandaoni na ndiyo mnaonekana kituko cha dunia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ivory coast wako bongo🇹🇿, Gambia wako bongo, Morocco wako bongo, Burundi wako bongo kwa ajili ya kutumia Infrastructure za Bongo kupiga mpira.

Hivi vitu vidogo vidogo ndivyo vinaongeza kuaminiwa inshu kubwa kubwa. Wakenya wanatabia ya kuvidharau.

Sasa Imagine AFCON Caf wapo more experienced na Tanzania atmosphere kuliko huko ukunyani, na wanategemea wao ndio wahost hell no, even SAUDI ARABIA anataka kuomba kuhost world cup ndio maana anajaribu kuprove kua anaweza kwa kuweka ligi nzuri ili kua more experienced.

Kunyani ikifika AFCON kutakua na Experience gani? Ya kuandaa mbio mbio mbio mbioooooooooooo!

Hao wakunya tabia ya kudharau vitu vidogo vinavyoota mizizi na kua sugu ndio imesababisha kua na LISLUM likubwaaa aka Kibera, Jua kali projects, White elephants projects, defense issues, Njaaa njaaaa njaaa, Stima, Maghorofa mabovu.


Experience na Majukumu vinaanza kidogo kidogo, ikiwa Mataifa 5 yapo nchini kwa kucheza WC Qualifier, na yote CAF ina taarifa nayo, unategemea CAF baadae wakupe na wanajua upo blacklisted viwanja vyako, unawapa tabu kila mechi kuwapeleka viwanja vingine.
 
Hili shirika kwa mapendekezo yangu wafumue uongozi wote kuanzia Matindi apewe mzungu tu au muhindi sio kama nadharau ngozi nyeusi ila kama tupo serious na hii biashara tufanye hivyo.
Hata mimi simuelewi!
Amepewa karibu kila anachotaka! Ndege na hata viwanja bora na pia nyomi la utalii lipo, kazi yake ni ku-manage airline kwa kutafuta new routes na alliances. Naona hilo linamshinda! '
 
Hata mimi simuelewi!
Amepewa karibu kila anachotaka! Ndege na hata viwanja bora kazi yake ni ku-manage airline kwa kutafuta new routes na alliances. Naona hilo linamshinda! '
Hopeless kabisa uyo jamaa, vitendea kazi anavyo ndege nyingi anazo, route chache na bado kuna ma delay delay ya ajabu ajabu, imagine sometimes delays zinatokana na operation kukosea kosea GD na bado anawaacha tu, wale vilaza kule operation kila siku wanakosea majina ya crew inapelekea kutengeneza delays, imagine inatumika mpk dk 20 kurekebisha majina tu ya crew, delay ya 20 minutes kizembe zembe na bado watu wanaachwa, mtu anatengeneza kitu sensitive kama hicho huku anachat na simu, ukija reservation ni kawaida kukosea kosea majina ya abiria, hatuwezi kufika kwa mtindo huo, fukuza wote hao tia ngozi nyeupe subiri uone effective efficiency.
 
Back
Top Bottom