ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
😀😀😀😀😀 sifa za uongo zimekwisha siku hizi...ujanja kwisha umebakia ujinga tu😛😛😛tuliza akili ndugu...utakufa na pressure...Pinnacle has stalled...yaani project imekufa...
😀😀😀😀😀 sifa za uongo zimekwisha siku hizi...ujanja kwisha umebakia ujinga tu😛😛😛tuliza akili ndugu...utakufa na pressure...Pinnacle has stalled...yaani project imekufa...
sawa unajua wakati mwingine inabidi umdanganye mtoto ili apate usingizi...nami nakwambia Pinnacle project imekufa...haya tulia sasa usije ukafa na heart attack😀😀😀😀😀 sifa za uongo zimekwisha siku hizi...ujanja kwisha umebakia ujinga tu😛😛😛
😀😀😀😀😀 endelea kutuonesha renders plz usisahau na montave plz brosawa unajua wakati mwingine inabidi umdanganye mtoto ili apate usingizi...nami nakwambia Pinnacle project imekufa...haya tulia sasa usije ukafa na heart attack
ilikua 2014 now is 2017 so again 2020😀😀😀😀😀😀 vyuma vimekaza kisawasawa..endelea kutuonesha renders plz bro2020 itakua ni Nairobi na SA cities tu..pengine Egypt pia wana miji kama Cairo na Alexandria....wengine watakua ni kutusindikiza...hata za Morocco watakua bado...
naona dawa imekolea sawasawa ndani yako.......Nairobi ni mji unaoheshimika Africa hii na dunia mzima......nakupa pole zangu kwa maumivuilikua 2014 now is 2017 so again 2020😀😀😀😀😀😀 vyuma vimekaza kisawasawa..endelea kutuonesha renders plz bro
leo siamini kama wakenya wamekua wafamaji
😀😀😀😀😀😀 hio utajua wewe ila mm najua bado ni renderThe pinnacle project in Nairobi is DEAD!!!!! it's a white elephant.
Are you happy now?
uhuru kenyata alisema nairobi is a heart of africa mugabe akamjibu nairobi is not even a foot of africa😛😛😛 yani dunia nzima iheshimu nairobi labda kwa slums ambazo zinaongoza duniani😀😀😀naona dawa imekolea sawasawa ndani yako.......Nairobi ni mji unaoheshimika Africa hii na dunia mzima......nakupa pole zangu kwa maumivu
Wao wamepigwa na wachina just 447 km wamecharazwa 3.8 billion usd bado interest hujaeeka hapo...Cash
![]()
Kuheshimika ata tu?nadhan ata mwadui wanaheshikima embu tafuta story zenye mashiko ...naona dawa imekolea sawasawa ndani yako.......Nairobi ni mji unaoheshimika Africa hii na dunia mzima......nakupa pole zangu kwa maumivu
Ukumbuke tu Nairobi haifikii Pretoria kwa kila kitu...bisha nmuite t-time apa2020 itakua ni Nairobi na SA cities tu..pengine Egypt pia wana miji kama Cairo na Alexandria....wengine watakua ni kutusindikiza...hata za Morocco watakua bado...
Naomba noonyeshe Termini na u specify kuwa zitajengwa ngapiWao wamepigwa na wachina just 447 km wamecharazwa 3.8 billion usd bado interest hujaeeka hapo...
Nairob to msa 447km = 3.8 billion usd ni sawa na 8.55 trillion .....diesel SGR 120km/hr...loan from china
Dar to dodoma 712km = 3.13 billion usd ni sawa na 7.062 trillion..... modern electric train 160km/hr...government of tanzania fund
Wachina mjue Mungu anawaona😀😀😀
msee,Kuna ya kisumu inaitwa Kit Mikayi,si eti wameiba...nimejionea mwenyewe

from dar to morogoro 300km zitajengwa 6 terminal hio uhakikaNaomba noonyeshe Termini na u specify kuwa zitajengwa ngapi