Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

msee,
hii jiwe katika picha lipo kisumu au lipo mwanza?...tuanzie hapo kwanza then tuendelee na debate.
b43b0b1d27ebd9e16631de4d776e9486.jpg

BTW tuwekee hapa hilo jiwe la kisumu.

NB:
baada ya jana ku-share screenshot hapa,leo nimejaribu ku-search kenya via google earth app,nimekuta wameifuta picha ya jiwe la mwanza.

nadhani wameingiwa na aibu baada kuona tumewashtukia.
Hata mm nimejaribu kuangalia ila nimekuta hvi
IMG_1015.PNG
 
Naomba noonyeshe Termini na u specify kuwa zitajengwa ngapi
Huku ni kuishiwa hoja, kwenye usafiri vitu vinavyozingatia ni;
1)Safety
2)Comfortability
3)Speed
4)Reliability

Sasa wewe umeshikilia vituo, kati ya hayo mambo manne hapo juu, wapi mchango wa vituo?, our train is very modern and its operation must and shall be the same, no time will be wasted by passengers at railway stations like what is happening in Kenya, hatupotezi pesa nyingi katika kujenga vituo vya kifahari badala yake tutanunua bullet trains za kifahari
 
this is the unique stone monument kenyans on google earth tried to allocate it's in kenya and immediately removed it after my comment in this thread...shame
5743d76377c3fcc9a9fd6e0332a738f3.jpg

the truth is the famous stone is
situated in mwanza-Tz not kisumu,kenya.

this is among the images google earth will show you if you search mwanza.
79d52d06e842d3a6ed72e885f60ae07b.jpg


and this is what google earth showed me( yesterday) when i searched kenya.
busted.
34f800b8cedf0e410ba018a94e0b82cc.jpg
 
Ukumbuke tu Nairobi haifikii Pretoria kwa kila kitu...bisha nmuite t-time apa
Hakika ni ajabu mno kuiwaza ata Casablanca watu walishaachana na Maisha ya kishamba mnayoishi apo Nairobi...wale wanausafiri wa ulimwengu wa kwanza nyie mko na matatu bado....
Ebu niambie vitu pretoria inaishinda nairobi?
 
this is the unique stone monument kenyans on google earth tried to allocate it's in kenya and immediately removed it after my comment in this thread...shame
5743d76377c3fcc9a9fd6e0332a738f3.jpg

the truth is the famous stone is
situated in mwanza-Tz not kisumu,kenya.

this is among the images google earth will show you if you search mwanza.
79d52d06e842d3a6ed72e885f60ae07b.jpg


and this is what google earth showed me( yesterday) when i searched kenya.
busted.
34f800b8cedf0e410ba018a94e0b82cc.jpg
Sasa hivi ni kuua nyang'au kwa rungu tu no way.wana upuuzi sana.
 
madhara ya unemployment ndio haya....ipo siku wakora watakuja chimba handaki hadi state house ya kenya, wakwibe furnitures kwa ofisi ya uhuru.

fdc1023d0f19412ee28add0defc1866a.jpg
 
Ukumbuke tu Nairobi haifikii Pretoria kwa kila kitu...bisha nmuite t-time apa
Hakika ni ajabu mno kuiwaza ata Casablanca watu walishaachana na Maisha ya kishamba mnayoishi apo Nairobi...wale wanausafiri wa ulimwengu wa kwanza nyie mko na matatu bado....
ndio maana nikakuambia mwaka wa 2020, tayari Nairobi itakua na light rail pamoja na bus lanes..Pretoria hamna chochote, pengine miji kama Johannesburg, Durban na Cape...Casablanca ni mji flat... hamna hata skyscrapers za maana ila zipo light rails na BRTs pamoja na stadium za kisasa..Casablanca kumejaa tu majengo meupe ya kiislamu....BTW, Nairobi na Luanda tu ndio kuna majengo marefu ya kisasa yanayojengwa wakati huu...nyie hata Luanda tu hamuioni with ur fishing LDC village
 
Huku ni kuishiwa hoja, kwenye usafiri vitu vinavyozingatia ni;
1)Safety
2)Comfortability
3)Speed
4)Reliability

Sasa wewe umeshikilia vituo, kati ya hayo mambo manne hapo juu, wapi mchango wa vituo?, our train is very modern and its operation must and shall be the same, no time will be wasted by passengers at railway stations like what is happening in Kenya, hatupotezi pesa nyingi katika kujenga vituo vya kifahari badala yake tutanunua bullet trains za kifahari
Pwahahahaa eti bullet trains... tafta daktari wa akili
 
ndio maana nikakuambia mwaka wa 2020, tayari Nairobi itakua na light rail pamoja na bus lanes..Pretoria hamna chochote, pengine miji kama Johannesburg, Durban na Cape...Casablanca ni mji flat... hamna hata skyscrapers za maana ila zipo light rails na BRTs pamoja na stadium za kisasa..Casablanca kumejaa tu majengo meupe ya kiislamu....BTW, Nairobi na Luanda tu ndio kuna majengo marefu ya kisasa yanayojengwa wakati huu...nyie hata Luanda tu hamuioni with ur fishing LDC village

Mpka mpate hayo majengo ndo muongee ..sasa hiv hamna hata over 34 hata moja wakati sisi tuna TPA 40flr ..ikumbukwe ilikuwa mpate 38flr NsSf hazina ..hadi leo hii iko stalled
 
Mpka mpate hayo majengo ndo muongee ..sasa hiv hamna hata over 34 hata moja wakati sisi tuna TPA 40flr ..ikumbukwe ilikuwa mpate 38flr NsSf hazina ..hadi leo hii iko stalled
my friend, the tallest buildings in EA mbili zote zipo Kenya...kisha ndio hio yenu ya kishamba inakuja namba 3
 
kuelekea mashindano ya cecafa challenge cup yanayotarajiwa kuanza tarehe 3/12/2017 huko kenya.
ccd340582226f7dc1044a72d66ff6a99.jpg


NB:
azam tv from tz is the official tv station that has been given the right to produce and broadcast all cecafa matches that will played this year around different stadiums in kenya.

f3b68fa2189528777cec884e2e063206.jpg
53e502dc64804744273b6f184f087068.jpg


with these modern broadcasting facilities, i have no doubt to believe why cecafa board has chosen azamtv to do its job.

78eafb24a8e644a1736f76dd86f5ed6d.jpg
281f287ae29dd775fd311238c3e54e96.jpg
9cd96a452c36ca23efac28841aa9ac29.jpg
76ccb897c68220808658ce83dff5693a.jpg
f90194821b3b4a7a62f3d388759340e6.jpg
de813a0433e235a112e7586733abfd05.jpg
8d1b24843b87bac62bdc06cf8d4b86fb.jpg
f1ab47573793eeb8e4e79fe734c9a608.jpg

haters gonna hate and say something but we ain't gonna stop.
 
Back
Top Bottom