Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Yo mkipata muda muangalie hii video, ni mji mpya wa Senegal, Damniadio, ni world class City.. kenyans muendelee kutamba tu na fake jidipii 🤣🤣.. 👇
View: https://youtu.be/gKqiyXvPJoM?si=JFg7pr7HXApgtJ6w. Watu wapo serious wakuu
Siongei na mtu anayetoka nchi isiyokuwa na ligi ya mpira wa miguu.Uliza FIFA watakuambia nyinyi ni number ngapi na sisi ni number ngapi kwenye rankings zao kisha urudi
SO LONG AS YANGU FC HAS NO CONTINENTAL HONORS.....THEY ARE A SMALL CLUB...Just in form.nothing muchKuna mtu analinganisha Yanga na Gor mahia, hapa zilikuwa timu 10 zimebaki 5 ndio hizi hapa 👇👇View attachment 2816475
Kama hakuna mtu anapanda basi mbona investors wa Tz wanazinunua? Ama hii sio number plate ya Tz?😅😅
View attachment 2815855
Usingemuonesha kwanza ungemuacha kwanza akasimamia kucha alaf tumuekee pilipili kichaa kwenye kijambio 😅😅😅😅
wala sio sababu walipewa fedha za kukabili corona! Tatizo ni ukora wa serikali iliyopo!Hawa nyang'au walijifanya kuwaiga wazungu na kufunga kila kitu wakati wa gonjwa la korona. Matokeo yake ndio wanaanza kuyaona sasa😁😁😁
Hizo fedha walizopewa wajanja walizifutika kibindoni😁😁😁wala sio sababu walipewa fedha za kukabili corona! Tatizo ni ukora wa serikali iliyopo!
Waambie Wakunya wapigie kura Yanga Sasa 🤣🤣Kuna mtu analinganisha Yanga na Gor mahia, hapa zilikuwa timu 10 zimebaki 5 ndio hizi hapa 👇👇View attachment 2816475
TanRoads wamekuwa miungu watu,wanafanya design za kisengerema baadae kazi zinarudiwa rudiwa ,kuleta kamandarasi njaaa na upuuzi mwingine kama huo.
Tulichelewa sana kumpata Bashungwa huku kwenye Barabara,fukuza hao wapuuzi 🙏🙏
View: https://youtu.be/MxymS_nZRzY?si=RF6c8WaSeTpb0oSB
🙄 Msalato airport ndio hii.? Hawa nyang'au wa north watakimbia humu 🤣🤣🤣😂😂😂😂 Siku hizi wanapapaswa kende kila eneo, Zamani wabongo walikua wanaamini promo za Wakundustan ila sasa hivi wanabishiwa live bila chenga na wanapewa makavu yao.
WANAJIONAGE WAPO MBELE😂😂😂
View attachment 2816499