hawa hata tukicheza vipofu tunawaramba tu.....kwa umbeya na hadithi za vijiweni hiyo wametuzidi.Lakini ikifika live live wanaona Kenyans kama gods.,,,Hiyo ni last time tukiwafanyia unyama AFCON
hawa hata tukicheza vipofu tunawaramba tu.....kwa umbeya na hadithi za vijiweni hiyo wametuzidi.Lakini ikifika live live wanaona Kenyans kama gods.,,,Hiyo ni last time tukiwafanyia unyama AFCON
Toka kwenye usingizi uje uone vitu real😅😅
View: https://twitter.com/BrayanBigshot/status/1482291215441842182?t=2AmZPC7Ff45yG6XypFclow&s=19
Kazi nilipata Kitambo sana.Ukiona hivi ujue kameshapata kazi, hapo kanakuchokonoa ili ukaulize kuhusu job kakulingishie, nakajua vzr haka kajamaa 🤣🤣🤣🤣
Mzee wa kulilia na vijisababu visivyo na kichwa wala miguu 🤣🤣🤣.Can't you see they are fake T-shirts? Even those who received them are complaining that they are fake.
And fake azimio also 😅😅😅😅😅Can't you see they are fake T-shirts? Even those who received them are complaining that they are fake.
Nikuoneshe ?? Cargo SGR itapita chini kwa chini kutokezea port of darAti underground railway? Mnapenda kuchochwa sana😂😂😅
Wenzako wameona tunnels zikitengenezwa ndio mana wanasema, yani wanasema walichokiona wewe upo hapo kubishana kima wewe.. haya kula chuma hicho 👇Ati underground railway? Mnapenda kuchochwa sana😂😂😅
Wenzako wameona tunnels zikitengenezwa ndio mana wanasema, yani wanasema walichokiona wewe upo hapo kubishana kima wewe.. haya kula chuma hicho 👇
View: https://youtu.be/Z_09X5wNr5Q?si=u2cF9z1asbykMh4s.
Tungeenda Afcon na tungewanyorosha tu kama kawaida. Nyinyi ni wateja wetu wapendwaSasa hata kama mngecheza mechi za kufuzu kwa matokeo hayo mnayopata mngeenda AFCON ya kibera labda 🤣🤣🤣🤣🤣
Wenzako wameona tunnels zikitengenezwa ndio mana wanasema, yani wanasema walichokiona wewe upo hapo kubishana kima wewe.. haya kula chuma hicho 👇
View: https://youtu.be/Z_09X5wNr5Q?si=u2cF9z1asbykMh4s.
Uliza FIFA watakuambia nyinyi ni number ngapi na sisi ni number ngapi kwenye rankings zao kisha urudiMumpite nani wkt ligi tu haichezwi huko kwenu 🤣🤣🤣🤣🤣
Ungemyorosha nani na team huna au utatumia waganga ??😁😁😁😁Tungeenda Afcon na tungewanyorosha tu kama kawaida. Nyinyi ni wateja wetu wapendwa
So CAF huitaki au??😅😅😅😅😅Uliza FIFA watakuambia nyinyi ni number ngapi na sisi ni number ngapi kwenye rankings zao kisha urudi
Hawa wajinga muda wao uliisha kitambo sana ndo maana 99.99% ya vitu wanaongelea ni vitu vilivyo pita tu. 😂😂😂Ungemyorosha nani na team huna au utatumia waganga ??😁😁😁😁
Shidaangu mimi nae sina subra, nilivyoona adui amejitokeza tu nikammiminia/nikamchakaza risasi nyingi sana punde tu alivyotokeza komwe lake 🤣🤣🤣. Mniwie radhi wakuu kesho nitasubiri hadi tumteke awe mateka kwanza kisha tumuue kidogo kidogo, tuanze kumkata kata kama nyama buchani. 🤣🤣🤣 Ili apate uchungu wa umauti wa kiwango cha juu sana. 🤣🤣Huyo mjinga wa extended canopy kulikuwa hakuna haja ya kutumia silaa nzito hivi kumpiga 😂😂😂