Tanzania ni tajiri siku nyingi tuu viongozi ndio wamekuwa wakituangusha siku zote
Kwanza hao Jamaa wametaja miradi michache sana
-Sgr ya Kigoma -Bujumbura
Mradi wa bwawa la Kidunda over 300bln
-Mradi wa bwawa la Farkwa Over 300 nln
-Mradi wa Maji Miji 28 Dola mil.500
-Mradi wa Vyuo Vikuu HEET Dola mil.450
-Miradi wa Maji Songea zaidi ya 160bln
-Miradi wa Maji Mbeya over 170 bln
-Miradi wa Maji Ruangwa-Nachingwe over 150bln
- Umeme wa jua Kishapu zaidi ya 100bln
-Ujenzi wa meli Mpya zaidi ya 360bln etc
Hapo Bado projects Moja Moja za Barabara ni nyingi balaa,viwanja vya ndege, Airports ,mashule,mavyuo ya Ufundi, Bandari, Irrigation schemes,nk nk