Hebu nioneyeshe picha ya nyumba za udongo Nairobi cbd alivyodai kilaza mwenzakoKaongea point nairobi ina nyumba nying za udongo
Upeo wako unakaa mdogo kutong'amua fitna wanazofanya! Sema huwezi sio hatuwezi! Na nani?Hatuwezi kuwaangalia wakifa kwa kukosa ugali jamani nyangau ndugu zetu hawa tuwavumilie tuu hivyo hivyo.
Wewe mwendawazimu angalia na watu wakuiita vilaza fala wewe.Hebu nioneyeshe picha ya nyumba za udongo Nairobi cbd alivyodai kilaza mwenzako
Buses za kishamba hizo huku Tz hakuna mtu anapanda bus kama hiyo.
Kama hakuna mtu anapanda basi mbona investors wa Tz wanazinunua? Ama hii sio number plate ya Tz?😅😅Buses za kishamba hizo huku Tz hakuna mtu anapanda bus kama hiyo.
Ndio naiona kwako? Root gani? And it look ugly
We kijana naona umerudi? Naona ulijifungia kutafuta bus wiki nzima. Unataka kusema huku bongo tutaishobokea hiyo.Kama hakuna mtu anapanda basi mbona investors wa Tz wanazinunua? Ama hii sio number plate ya Tz?😅😅
View attachment 2815855
😂😂😂😂 Uchafu huo eeh! Ukute mmebadili tag kutoka ile TBS za kampeni na ufunguzi wa Garimosh
😂😂😂😂😂Waombe alshababu wasiwakute maana wataolewa 🏃♂️
Hawa kunyans wanaongea tu ila kwa ground hamna kitu!Sasa hii ndio intercity transit h commuter huko ukunyani, halafu wanasema hiyo eldorot ni city licha ya kuwa na size ndogo kuliko Manispaa ya Morogoro. Just imegine bus kama hili lipige route ya Dar - Tanga .. kwanza LATRA hawatatoa License.
Kenya imefilisika kila idara 😂😂
View: https://twitter.com/Benji_Fernandes/status/1724865801969086624?t=OGIOEJJ6UPuT7V5IrsQn_g&s=19
Wewe nyumbu nilishakwambia hakuna Kampuni yeyote ya Tanzania inaweza nunua scrapper Kunyaland.Kama hakuna mtu anapanda basi mbona investors wa Tz wanazinunua? Ama hii sio number plate ya Tz?😅😅
View attachment 2815855
Na wewe ndio mwenyekiti wa vilaza humuWewe mwendawazimu angalia na watu wakuiita vilaza fala wewe.