game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,053
- 26,331
But for now there is no 35 floors over The entire Kenya,Nyinyi mkihangaika na 30floors....sisi tutakua tukiongea kuhusu over 40,50,70 floors
Here we have 3 already.
But for now there is no 35 floors over The entire Kenya,Nyinyi mkihangaika na 30floors....sisi tutakua tukiongea kuhusu over 40,50,70 floors
yetu inamiaka 6 now bro😀😀😀😀😀😀 nyie ndio mumeanza 2017yenu si imeanza jana. we already talked about this before... acha kuzunguka mbuyu kama paka anafukuza mkia wake
where are they????😀😀😀😀😀😀 usituambie habari ya renders plzNyinyi mkihangaika na 30floors....sisi tutakua tukiongea kuhusu over 40,50,70 floors
usisahau mtono marine jamaa anafukia bahari 30 acres na kujenga the largest water park in africa na mpaka sasa ujenzi umefika over 70%Watakuambia mji sio majengo ni GDP na Ring Roads
Kama Nairobi inatembelea Kichwa kwenye hiyo list hapo juu hata baada ya uchimbaji mafuta ( Excavation) na finally construction yaani baada ya Miaka mitatu hadi minne. Mombasa je? Si itakua ulimi nje Kama ....,...........
Je Miaka mitatu na minne Dar itakua imezubaa tu hamna Jengo lingine ? Itakua ni mchakamchaka tu .
Too bad the Hunter become the Hunted.
Pale Mombasa nakubali eneo moja Tu, English point Marina .Ambayo Zanzibar itaifunika soon and Amber resort.
alafu tanzania ikiwachukulia hatua za kisheria wanakasirika😀😀😀😀😀😀😀kwenye google earth kuna wakenya wameamua kaweka hiyo picha ya jiwe maarufu la mwanza kuitambulisha kenya.
ukiingia kwenye app ya google earth ku- search kenya,utaletewa ramani ya kenya na hiyo picha ya jiwe.
yaaani nilipoona nikaishia tu kucheka...hakika wakenya ni washenzi.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
aerial view of DarBut for now there is no 35 floors over The entire Kenya,
Here we have 3 already.
aerial view of DarBut for now there is no 35 floors over The entire Kenya,
Here we have 3 already.
Ok for now but another 4yrs to come Nairobi will be competing on it's self on towers over 40 floors in this continentBut for now there is no 35 floors over The entire Kenya,
Here we have 3 already.
afadhali Mombasa inakaa very sexy.......ujanja wa tower tatu za Dar hazijasitiri umaskini wa mji huo.aerial view of Dar
aerial view of Dar
![]()
where are they????bado ziko kwenye karatasi😀😀😀😀 unafkiri 4 yrs tutakua tunawaangalia tu😛😛😛😛Ok for now but another 4yrs to come Nairobi will be competing on it's self on towers over 40 floors in this continent
Nyinyi mlishiwa fedha ya kujenga majengo marefu kitambo,sasa tulieni muone baba yenu Nairobi akipa anga za kimataifawhere are they????bado ziko kwenye karatasi😀😀😀😀 unafkiri 4 yrs tutakua tunawaangalia tu😛😛😛😛
siwezi changia maana sija wai fika hata huko kenya....Dar es salaam Master Plan Map
View attachment 455887
View attachment 455884
View attachment 455890
BRT Master Plan Map
View attachment 455885
Kigamboni New City Map
View attachment 455886
tuliishiwa vp na majengo yanajengwa😀😀😀😀😀 ikipaa kwa renders labda😛😛😛 maana hiyo prism tower mumedanganya ulimwengu ni 32fl kumbe hata 30 haijanusa🙄🙄🙄🙄Nyinyi mlishiwa fedha ya kujenga majengo marefu kitambo,sasa tulieni muone baba yenu Nairobi akipa anga za kimataifa
Nionyeshe jengo hata moja huko dar lenye liko proposedtuliishiwa vp na majengo yanajengwa😀😀😀😀😀 ikipaa kwa renders labda😛😛😛 maana hiyo prism tower mumedanganya ulimwengu ni 32fl kumbe hata 30 haijanusa🙄🙄🙄🙄
Kuna ya kisumu inaitwa Kit Mikayi,si eti wameiba...nimejionea mwenyewekwenye google earth kuna wakenya wameamua kaweka hiyo picha ya jiwe maarufu la mwanza kuitambulisha kenya.
ukiingia kwenye app ya google earth ku- search kenya,utaletewa ramani ya kenya na hiyo picha ya jiwe.
yaaani nilipoona nikaishia tu kucheka...hakika wakenya ni washenzi.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kakakuona tower 40fl wako kwenye final stages na ujenz unaeza anza wakat wowoteNionyeshe jengo hata moja huko dar lenye liko proposed
wewe usitudanganye ile picha ni ya bismarck rock mwanza😀😀😀😀😀😀Kuna ya kisumu inaitwa Kit Mikayi,si eti wameiba...nimejionea mwenyewe
afadhali Mombasa inakaa very sexy.......ujanja wa tower tatu za Dar hazijasitiri umaskini wa mji huo.



ukisikia hayo maneno ujue ndio etc. ..Walishatangulia wenye 50+ na 40 mob nyie ndio mnaota LeoOk for now but another 4yrs to come Nairobi will be competing on it's self on towers over 40 floors in this continent




wakikuonesha wapi pinnacle na montave inajengwa nitag hapa hakuna ujanja😀😀😀😀😀😀Walishatangulia wenye 50+ na 40 mob nyie ndio mnaota Leo
Nenda Jozi ukajionee or Cairo...
what New is that pinnacle only and other cities like Durban have render for 88 flr building and tunis 100 flr building so it's not going to be alone anyway
Poapoa kijana! !the tiny arusha...though beautiful.Ni mji ninaoupenda hapo bongo