Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is how the typical Dar slum estate looks like:
Single storey housing with 1970s architecture, rusty roofs and not a high-rise in sight. They're like unicorns over there.


View: https://www.youtube.com/watch?v=voupU-An0bc

Tandale hio ndio hua munafananisha na kibera 🤣🤣🤣🤣🤣 tandale ina lami kila kona kuliko karen ina lami mpaka za zege na mitaro misafi kuliko karen na ukibisha tu nitag

Kuna nyumba za kifakhari kuliko karen tandale ww bisha tu uone 😅😅😅
 
Zimipotea kwa simu na kwa Google Account. Lakini Ona hapa. Cheki hivi viti na zege.
Low quality
Squeezed together
Not even numbered
View attachment 2798196View attachment 2798197
While in Kasarani.
Quality seats
Spaced
Numbered
View attachment 2798198View attachment 2798199View attachment 2798200
Mtafute huyu umuulize kuhusu benjamin mkapa stadium atakujibu 🤣🤣👇👇👇
Screenshots_2023-10-23-23-15-27.png
Screenshots_2023-10-23-21-04-53.png
 
Kumbuka Kasarani nayo kuna renovation kali. Ujue tena ulipewa KDF. Jamaa waliounda Uhuru Gardens Nairobi. Mtajua hamjui
Renovation gani hua munafanya watu wanakula pesa na stadium iko vile vile miaka yote hata kujitahidi mupate CAF standard approval imewashinda ila kwa midomo mirefu mulijaaliwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Life Expectancy according to WB.

Tanzania 66 years
View attachment 2798025

Kunyaland 61 years
View attachment 2798027

Yanakufa kama sisimizi wamemwagiwa kerosine sababu ya njaa na utapiamlo 😁😁😁😁
Siku zote nchi yenye maisha bora, yani huduma bora za afya, lishe bora, elimu bora lazima iwe na life expectancy kubwa. Unaweza kuona tulivyo mbele ya hawa jamaa, yani tunaishi miaka 5 zaidi yao, hii ni miaka mingi sn ambayo mtoto anakua na anaanza darasa la kwanza bila tatizo, wakenya ni maskini ukilinganisha na watanzania thus y tunaishi maisha marefu kuliko wao.
 
Ukubwa wa Dar tumeimbiwa hapa tangu 2015 na hakuna Cha maana. Huo ukubwa ni uswazi kushoto kulia you can't compare with Nairobi iliyojengeka kila mahali. Ukubwa gani wakati sehemu kubwa pia ni mapori hadi shamba za mihogo za hekari kadhaa zinapatikana.
Mapori ni zile bus terminal zenu huko sugunyostan
 

Attachments

  • a226872c1bbb96c4e9c1a3487bad295e.mp4
    1.4 MB
Siku zote nchi yenye maisha bora, yani huduma bora za afya, lishe bora, elimu bora lazima iwe na life expectancy kubwa. Unaweza kuona tulivyo mbele ya hawa jamaa, yani tunaishi miaka 5 zaidi yao, hii ni miaka mingi sn ambayo mtoto anakua na anaanza darasa la kwanza bila tatizo, wakenya ni maskini ukilinganisha na watanzania thus y tunaishi maisha marefu kuliko wao.
Watakwambia Kilimani kunajengwa magorofa mengi Bill gate atachukua duka 😁😁😁😁😁
 
Mimi ni mtanzania ila ukweli usemwe hizi range kanda ya kaskazini (arusha, moshi, n. K
) ipo hii moja tu ya William tarimo basi huku dar zipo 5 tu bongo nzima haizidi 7 approx.

Kwa research yangu ila kenya haya mandinga ni mengi sana aseeh ukweli use
Ww ndio hua unakaa barabarani kuyahesabu??🤣🤣🤣🤣 hata namanga ushawah kufika wewe kwnye mambo ya magari tuachie sisi tunaoyajua tukwambie, kuna watu tunawajua na yamekaa uwani tu
 
There is no equal for Nairobi south of Sahara, North of Limpopo.
Dar even with it's occasional new buildings feels 'artificial'. It's like they're chasing their northern neighbors for some elusive title 😂😂
Nairobi CBD is a compact city, that for the most part feels 'complete'. Dar is just chasing Nairobi shadows, with out of place government skyscrapers that stick out like a sore thumb.

Nobody has ever visited Nairobi CBD and Dar ever came out thinking Tanzania is ahead. 😂 😂
Hii haina come back wa sugunyo 😂
 

Attachments

  • a226872c1bbb96c4e9c1a3487bad295e.mp4
    1.4 MB
Back
Top Bottom