Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Internet Usage Tanzania vs Kenya according to WB.

Wakunya tumewanyea mbaya 😂😂

Tanzania
Screenshot_20231029-081231.jpg


Kenya
Screenshot_20231029-080731.jpg
 
Jana nimekua pale Rongai ya Tz pale Kilimanjaro. Laidback people, they respect Kenyans and they love simba and Yanga. In a local pub, arguments began on which is better and both the two men were trying to convince me that their team is better. All in all, this ubabe attitude on JF wasn't their. Guys respect Kenyans and women want Kenyans. One woman wanted me to take her to Kenya with me.
Kilimanjaro residents wanasukuma ndinga kama hizi ambazo ukiondoa Nairobi hakuna kwengine Kunyaland wamezitia machoni

20231030_115838.jpg
 
Wewe kijana wa Tandale utasumbuka sana. Niambie hii picha Dar ni nini kilichobaki?
Posta, kijitonyama, Kariakoo hadi upanga zote ndaniView attachment 2797807
Hebu nioneshe upanga iko wapi ?? Kwanza angalia tu umbali wa picha over 25km hakuna kitu kinaonekana hahahah

Angalia picha ulizopost ww kila kitu kinaonekana vzr kabisa huna cha kuficha ndio maana mkiambiwa dar nikubwa mara 3 ya nairobi muelewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umeona usaidie mwenzako kwa kuhamisha goli!
Anyway, naona kwenu hali shwari kabisa wala hamna matatizo. But as the saying goes... hizi ni picha za 90sView attachment 2797853View attachment 2797854
Tanzania Hali ni shwari kabisa Kila Kijiji kinafikiwa

View: https://twitter.com/TaruraTz/status/1717131762701078696?t=ijofvA2ffhuoYVdTQo2YHw&s=19

Wakunya: Tuna lami Kila Kijiji 😂😂😂😂

View: https://twitter.com/TheStarKenya/status/1718933201123434898?t=WyzbzQm-WOJxBdeB3_Baaw&s=19
 
Hebu nioneshe upanga iko wapi ?? Kwanza angalia tu umbali wa picha over 25km hakuna kitu kinaonekana hahahah

Angalia picha ulizopost ww kila kitu kinaonekana vzr kabisa huna cha kuficha ndio maana mkiambiwa dar nikubwa mara 3 ya nairobi muelewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa kama magorifa za Posta zinaonekana kwenye hiyo picha za Upanga zitakosekosaje kuonekana na tunajua Posta na Upanga zinapakana?

The point is, picha moja umecover kila kitu cha maana Dar. Ile ya South C niliyopost Kilimani haionekani hata kidogo
 
Back
Top Bottom