Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo mwamwindi Si ndo mharifu kipindi Cha Nyerere kwanini jina lake linatukuzwa?
Tatizo mzee Kleruu alileta dharau, so Mwamwindi akamuonesha kwamba Wahehe hawapendi dharau, so kwa wahehe huyo ni shujaa na sio muharifu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ukitoka hapo ongeza na expressway ya mchina alafu malizia na vi apartment nzee ndio maendeleo ya Kenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Maumivu haya, dogo kanajiliwaza kwa maneno, Dar haitajibu karne hii na kwa kizazi chenu, pengine vitukuu wakibahatika., nyie mnakufa kwa uswazi zenu.., apartments pia ni ndoto😂😂😂😂😂😂😂
 
Kwamba kilaza Ichoboy analazimisha kufananisha barara kama hii ya Nyali
View attachment 2795312
Na huu uchafu wa Mwanza yenye nguzo za stima zilizooza🤣🤣View attachment 2795314
Mwanza., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1698479607128.png

Kisumu imetosha...,
1698479306007.png

1698479330490.png

1698479342544.png

1698479482425.png
 
Back
Top Bottom