Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Mombasa sio Dar ama vijiji vyenu mnataja eti ni city, Benjamin Mkapa stadium moja Tanzania yote imewafanya mnadhani mko na viwango ilhali bado sana 😂 😂 😂 😂 , akina Cameroon, Zambia na Togo mataifa fukara size yenu wanazo zaidi kueni wapole, jikubali mlivyo.., nyie bado under weight..., ligi ya nyumbani imewafumba macho..,So hili povu lilikuwa la nini!
So now zinafanana!
Tofauti yako na kondoo ni harufu tu.
View attachment 2794637