Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We ni matako kweli, sasa yupi huko Kunyaland anaweza miliki hizi Dungu jeshi kwenye rallies? 🤣 How could a keyboard warrior make fun of these machines and still make sense? 😂

View attachment 2794246View attachment 2794247
Wewe na vilawaza wenzako inferiority complex itawaua
images - 2023-10-27T112033.777.jpeg
images - 2023-10-27T111946.261.jpeg
 
Onyesha stadium kama hiyo Mwanza tu ama Arusha.., yaani stadium ya County ya Kakamega ambayo iko under construction hamna kwenye vijiji vyenu mnazo zitaja eti ni city.., kama iko onyesha tuone..,
uwanja bado uko under construction by a county government, sio serikali kuu, county!, ili host inter school National football games..,
Watu wa City moja yenye CBD moja na Stadium moja hawaniambii kitu humu.., 😂 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2791455
View attachment 2791458
View attachment 2791456
View attachment 2791457
Yaani uwanja bado unajengwa na mshaanza kulia lia., 😂😂😂😂😂😂😂
Kwaiyo unajengwa huku unatumika?
 

Yaani bado nyie ni mbumbumbu bin zezetas.., ukiangalia hizi canopy 👇 👇 zinafanana kweli? unaona ulivyo mwehu, yaani unajaribu kulazimisha ili kudunisha Kenya ndio Tz ionekane lakini wapi..., narudia ukini tag be ready with hard facts na uwe na pumzi ya kutosha.., nyie kazi yenu nilimaliza, ni Kiswahili tu ndio mnanifunza na hivi karibuni nitawageuzia mkeka nije niwafunze hiyo Kiswahili..,
1698405014305.png

1698405035491.png


Unafahamu Mombasa iko na stadium ngapi za hii muundo kweli?.., Tz kila kitu Dar.., fukara nyie.., 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1698406210650.png

Uwanja wa Mbuzi..,
1698406478090.png

1698406492148.png

1698406502990.png
 
Nimekuwa nikisubiri train hapa malaba tangu 2013 lakini wapi imebidi nioe hukuhuku na nijenge kibanda cha kukaa kusubiria train na sasa nimepata watoto 4 bado naendelea kusubiri treni ya esjiaraa ifike.
Yenu haijang'oa nanga kutoka Dar!!...,kilomita mia mbili pekee ya phase one miaka 6 bado 😂 😂 😂 😝 😝 😝 😝 😝 😂 😂 😂
 
Duuu hizo ndo mega project za Kenya,😂😂😂😂😂
Vile wewe unavyo dhania, yaani kwa maoni yako based on your estimation uko sahihi kabisa, hiyo ndiyo level ya fikra zako haswa. 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .,
 
Vile wewe unavyo dhania, yaani kwa maoni yako based on your estimation uko sahihi kabisa, hiyo ndiyo level ya fikra zako haswa. 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .,
Sasa Si sinajengwa huku zinatumika hata fundi mchundo wa Tanzania hawezi piga paa la nyumba huku watu wamelala ndani lakini engineer wa Kenya anaweza na hizo ndo level zenu 😃😂😂😂😂😂
 
Sasa Si sinajengwa huku zinatumika hata fundi mchundo wa Tanzania hawezi piga paa la nyumba huku watu wamelala ndani lakini engineer wa Kenya anaweza na hizo ndo level zenu 😃😂😂😂😂😂
Umenielewa sawasawa, boss uko sahihi kabisaaaa.., pongezi 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😝 😝 😝 😝
 
This French guy traveling from france to Cape town with a tricycle can't stop singing praises for kenya. Right now he's approaching NBO and I've been following his journey from moyale border. He says Ethiopia which danganyikans like to praise is years behind us. I cant wait for him to cross namanga so that we can get the raw image of the zoo😃View attachment 2793985
View attachment 2793986
Yeye sio wa kwanza wageni wengi wametokea Tanzania wakifika Kenya wanakiri ukweli, yaani tofauti ni wazi..., Tanzanians are merely noise makers, vitu vidogo vichache they blow them utadhani Tz ni South Africa na bado wako same whatsapp group na akina Cameroon, Uganda, Zambia, Malawi types...,
 
Yaani bado nyie ni mbumbumbu bin zezetas.., ukiangalia hizi canopy 👇 👇 zinafanana kweli? unaona ulivyo mwehu, yaani unajaribu kulazimisha ili kudunisha Kenya ndio Tz ionekane lakini wapi..., narudia ukini tag be ready with hard facts na uwe na pumzi ya kutosha.., nyie kazi yenu nilimaliza, ni Kiswahili tu ndio mnanifunza na hivi karibuni nitawageuzia mkeka nije niwafunze hiyo Kiswahili..,
View attachment 2794579
View attachment 2794581

Unafahamu Mombasa iko na stadium ngapi za hii muundo kweli?.., Tz kila kitu Dar.., fukara nyie.., 😂 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2794603
Uwanja wa Mbuzi..,
View attachment 2794605
View attachment 2794606
View attachment 2794607
Ondoa uchizi hapa.
 
Back
Top Bottom