Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Keep on waiting for 2030 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

1697181288174.png
 
Keep on waiting for 2030 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

View attachment 2780778
Wala sijakataa hilo. Kwa sasa zoea tukiwa juu yenu mkingoja 2030

View attachment 2780777
We maskini wa Narok katafute pesa kwanza badala ya kupiga blaa blaa humu jf wakati ndugu zako wanakufa Kwa njaa huko Mandela πŸ€ͺπŸ€ͺ

View: https://twitter.com/thebizwiztz/status/1712725861013524944?t=ullzPKa0zUMQV6i86M_acw&s=19
 
Chamoto hawezi kukuelewa! Swali ni kama kwenye utalii wa mbuga na fukwe tunaruhusu wawekezaji kujenga mahoteli, mbona kwenye utalii wa matibabu tusiruhusu wakina Apollo wajenge mahospitali ya kisasa na kuleta madaktari bingwa? Hii maneno ni zaidi ya uelewa wa Chamoto!
Hivi hizi akili za kutokuweza kufanya mambo yenu muhimu mpaka wajomba "wawaletee" mnazitoa wapi? Mbona kwenye kutafuta watoto hamuombi wanaume wenzenu wawasaidie?
 
Hata mimi nawashangaa manaposifu mama yenu kwenda kutafuta "wajomba" wa maendeleo.

Halafu wewe ChoiceVariable mbona huwa haueleweki kimtazamo, kwenye vita ya Ukraine, uko upande wa Nato, sasa hivi vita pale Gaza uko upande wa Hamas, wapi na wapi?
Choicevariable huwa haeleweki mkuu, me cku hz nmeamua kumuacha tu twende hvyo hvyo, mana utakuta hamtaki JPM lkn vitu vya JPM vyote anavishabikia, kuanzia majini, angani mpaka nchi kavu. Excuse yake anakuambia mradi gn alimaliza, kwahiyo yeye alitaka amalizie akiwa kaburini? Nchi si yetu wote yeye akifa manaake tusiendeleze alichoanzisha?

Ameacha reli ya SGR ipo mbali sana, ndege zote tunazoziona sasa alishazinunua ukiacha hizo mbili Max ambazo ndiyo za mama, mahospitali yote yanayomaliziwa now aliyaanzisha yeye, ni vitu vingi vingi vingi sana hatuwezi kumaliza leo lkn tunajua alivianzisha JPM na jamii inatambua wala hakuna haja ya kubishana na mtu yeyote.
 
Hata mimi nawashangaa manaposifu mama yenu kwenda kutafuta "wajomba" wa maendeleo.

Halafu wewe ChoiceVariable mbona huwa haueleweki kimtazamo, kwenye vita ya Ukraine, uko upande wa Nato, sasa hivi vita pale Gaza uko upande wa Hamas, wapi na wapi?
Kwanza upande upi uchague ni swala binafsi but general rule ni kwamba kimsingi Huwa sipendi uonezi na kunyanyasa wengine Kwa sababu wewe unajikuta saana.

Kwa hiyo Israel inawaonea Wapalestina kama vile Russia inavyowaonea Ukraine.Tusipangiane maisha.

Wawekezaji sio wajomba wako ni wafanyabiashara hao wanatafuta fursa,wakija hao ndio wanatusaidia kupiga hatua Kwa Nchi yetu na sisi tunajifinza kutoka kwao na kujenga uwezo wa Nchi na raia wake.

Tanzania sio Korea Kaskazini kwamba tutakomaa kibishi bishi wakati hizo akili hazipo.

Dunia ilishahama kwenye porojo Iko kwenye kazi tuu.
 
Back
Top Bottom