Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yes that why we are growing faster than you. Kwani wewe nyumbu unaonaje?
Ni sawa nyie endeleeni kungoja 2030 ndio muwe powerhouse 😂😂😂😂😂. Lakini kwa sasa we are ahead of you na sisi ndio poerhouse, continue working hard on bridging that gap.
 
Ni sawa nyie endeleeni kungoja 2030 ndio muwe powerhouse 😂😂😂😂😂. Lakini kwa sasa we are ahead of you na sisi ndio poerhouse, continue working hard on bridging that gap.
Ni just 7 years Wala sio miaka Mingi mtaanza kutusalimia Shikamoo 😆😆
 
We have the capacity and resources ndio maana tuna miradi ambayo Kunyaland nzima hamtakuja kuwa nayo Hadi wanakuzika
Mmekuwa na hizo resources tangu kitambo yet we still beat you with no minerals😂😂😂😂. In fact, you should be ashamed of yourselves. Our most valuable mineral is soda ash, hiyo ni chumvi in simple terms, yet we still beat you with all your mineras and so called resources
 

Soma hiyooo 👇

1697179866958.png
 
Hii ni source kutoka Kenya National Bureau of Statistics. Even without Nairobi and all it's slums, Kenya still beats Bungustan with all their so called fast growth rate 😂😂😂😂


View attachment 2780698
90% imetoka Source ipi? 😁😁😁😁
 
Tukutane 2030 when you will be a worthy competitor 😂😂😂😂😂😂
Characteristics of Kenya Paper GDP
-Regular hunger
-Mass unemployment
-High cost of living demonstrated by numerous maandamano kutoka Kwa Raila
-High Tax rates/Tax burden(No say World bank inawapangai)
-Dollar shortage inategemea kutoka Tanzania
-Debt burden( mbioni kuwa buncrapty)
-Nabii Ruto kulalamika na kulia Lia Kila siku
-Tribal and political conflicts
-High crimes rate yaani hapa Alshaabab wanajioigia wanavyotaka

Just to mention the few 😆😆😆😂😂😂😂😁😁😁🤪🤪🤪🤪
 
Characteristics of Kenya Paper GDP
-Regular hunger
-Mass unemployment
-High cost of living demonstrated by numerous maandamano kutoka Kwa Raila
-High Tax rates/Tax burden(No say World bank inawapangai)
-Dollar shortage inategemea kutoka Tanzania
-Debt burden( mbioni kuwa buncrapty)
-Nabij Ruto kulalamika na kulia Lia Kila siku
-Tribal and political conflicts
-High crimes rate yaani hapa Alsgaabab wanajioigia wanavyotaka

Just to mention the few 😆😆😆😂😂😂😂😁😁😁🤪🤪🤪🤪
Sijakataa. Tukutane 2030

1697181015033.png
 
Back
Top Bottom