Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unavyolazimisha tower mbili ndio hua sometimes nakuona empty head tu ...colloh -mziireloded...

Kumbuka jungle letu halina mpinzani nakubali upperhill surpus k'nyama and nobody has ever claimed that k'nyama is ahead of upperhill unless it was upanga named
Its TPA and PSPF owned by govt...magufuli won't built any soon so we expect less from dar in the coming yrs
 
Pspf golden jubilee tower headoffice Dar
bb7021cbd708da49f819852d1014dba5.jpg
fb64e05d7be0a4e5c7af47b13d663fbf.jpg

Mezeni wembe
 
throwback thursday:
tujikumbushe zile nondo za siku za nyuma.
Kweli kama level yao ni Ku rent dormitory hatuwezi wafikia , maana uku watu wana own land na wana build houses za ndoto yao

Yani Tanzania raha sana imagine una tengeneza nyumba unayotaka ukae na family yako

Poor Kenyan wanaishi dormitory na wanalipa rent kwa dormitory lord

Imagine mwanaume wa Kenya hana mawazo ya kujenga Nairobi yy mawazo ni kuishi dormitory ya ndoto zake akiwa na mke wake , na ndio maana wanawake wana wachapa sana wanaume wa Kenya maana hawana mawazo ya Ku own land wala house

Its humiliation kwa wanaume wa Kenya na GDP kubwa yao
halafu ma-youth wengi wa nairobi wanalala sitting room kutokana na uhaba wa vyumba ktk baadhi apartment.

hii hutokea pale baba anapolipia apartment ya two bedroom halafu ana watoto watatu au wanne wa kiume na kike.

katika situation kama hii,Mara nyingi mtoto wa kiume huamuliwa kulala sitting room.

"wa mwisho kulala wa kwanza kuamka".
I saw this with my own eyes last year when I visited one family in nairobi.so shame...imagine

NB:
ifahamike kuwa ni wakenya wachache sana wenye uwezo wa kulipia three bedroom apartment.
kupata apartment ya ndoto yako jijini Nairobi ni very expensive.itabidi ulipie pesa nyingi.
minimum price for a beautiful 3bedroom apartment in nairobi is ksh80000 to ksh100000 per month.
hiyo ni pesa nyingi sana sio masihara.

hapo ndio unakuta baadhi yao wanalazimika kwenda ku-rent house kwenye maeneo duni kama kibera,mathare,mukuru kayaba nk.
 
Unavyolazimisha tower mbili ndio hua sometimes nakuona empty head tu ...colloh -mziireloded...

Kumbuka jungle letu halina mpinzani nakubali upperhill surpus k'nyama and nobody has ever claimed that k'nyama is ahead of upperhill unless it was upanga named

Wanadai tuna Tower mbili yet, wao mpaka wamalize kuchimba mafuta baada ya Miaka mitatu Au lminne ( Pinnacle 1& 2, Avic 1,2 & 3, Montave 1&2 watakua Bado wanatembelea kichwa Kwa Number of Highrises over 30 Kwa DAR, Sasa sijui Nani hapo ana Tower mbili Kwa sasa .
 
Wanadai tuna Tower mbili yet, wao mpaka wamalize kuchimba mafuta baada ya Miaka mitatu Au lminne ( Pinnacle 1& 2, Avic 1,2 & 3, Montave 1&2 watakua Bado wanatembelea kichwa Kwa Number of Highrises over 30 Kwa DAR, Sasa sijui Nani hapo ana Tower mbili Kwa sasa .
Hawana hoja. ..
Nawafahamu MNF tower 30 ×2 Mwakani linakua tayari
Mzizima tower 35,33flr mwakani
ppf tower 35flr mwakani...
Nyumba tano Za nguvu ziko mbioni kuisha
 
Back
Top Bottom