throwback thursday:
tujikumbushe zile nondo za siku za nyuma.
Kweli kama level yao ni Ku rent dormitory hatuwezi wafikia , maana uku watu wana own land na wana build houses za ndoto yao
Yani Tanzania raha sana imagine una tengeneza nyumba unayotaka ukae na family yako
Poor Kenyan wanaishi dormitory na wanalipa rent kwa dormitory lord
Imagine mwanaume wa Kenya hana mawazo ya kujenga Nairobi yy mawazo ni kuishi dormitory ya ndoto zake akiwa na mke wake , na ndio maana wanawake wana wachapa sana wanaume wa Kenya maana hawana mawazo ya Ku own land wala house
Its humiliation kwa wanaume wa Kenya na GDP kubwa yao
halafu ma-youth wengi wa nairobi wanalala sitting room kutokana na uhaba wa vyumba ktk baadhi apartment.
hii hutokea pale baba anapolipia apartment ya two bedroom halafu ana watoto watatu au wanne wa kiume na kike.
katika situation kama hii,Mara nyingi mtoto wa kiume huamuliwa kulala sitting room.
"wa mwisho kulala wa kwanza kuamka".
I saw this with my own eyes last year when I visited one family in nairobi.so shame...imagine
NB:
ifahamike kuwa ni wakenya wachache sana wenye uwezo wa kulipia three bedroom apartment.
kupata apartment ya ndoto yako jijini Nairobi ni very expensive.itabidi ulipie pesa nyingi.
minimum price for a beautiful 3bedroom apartment in nairobi is ksh80000 to ksh100000 per month.
hiyo ni pesa nyingi sana sio masihara.
hapo ndio unakuta baadhi yao wanalazimika kwenda ku-rent house kwenye maeneo duni kama kibera,mathare,mukuru kayaba nk.