Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Am yet to see anything spectacular from tz apart from swahili! nimefuata hii thread tokea mwanzo! bado tz haiko level ya kenya, ukweli ni kua kazi iko kwa kasi., but not yet there! mungekua na gdp kubwa kulingana na vile munapiga domo humu! dar bado, lakini inakuja kwa kasi., zanzibari ni kwa waswahili wazembe na washamba, wageni wanao tembea kule ndio wanachangamsha mji.
Kweli kama level yao ni Ku rent dormitory hatuwezi wafikia , maana uku watu wana own land na wana build houses za ndoto yao

Yani Tanzania raha sana imagine una tengeneza nyumba unayotaka ukae na family yako

Poor Kenyan wanaishi dormitory na wanalipa rent kwa dormitory lord

Imagine mwanaume wa Kenya hana mawazo ya kujenga Nairobi yy mawazo ni kuishi dormitory ya ndoto zake akiwa na mke wake , na ndio maana wanawake wana wachapa sana wanaume wa Kenya maana hawana mawazo ya Ku own land wala house

Its humiliation kwa wanaume wa Kenya na GDP kubwa yao
 
Kweli kama level yao ni Ku rent dormitory hatuwezi wafikia , maana uku watu wana own land na wana build houses za ndoto yao

Yani Tanzania raha sana imagine una tengeneza nyumba unayotaka ukae na family yako

Poor Kenyan wanaishi dormitory na wanalipa rent kwa dormitory lord

Imagine mwanaume wa Kenya hana mawazo ya kujenga Nairobi yy mawazo ni kuishi dormitory ya ndoto zake akiwa na mke wake , na ndio maana wanawake wana wachapa sana wanaume wa Kenya maana hawana mawazo ya Ku own land wala house

Its humiliation kwa wanaume wa Kenya na GDP kubwa yao
Tembea ujionee kaka! kenyans have homes, where they buid and are burried, only one tribe wanaishi kama wazungu, the kikuyus, anaishi mahali, akodi ama ajenge, akifa anazikwa kwa public cemetry katika mji anayoishi. mjini ni kutengeneza pesa tu., mjaluo wa kibera ama mji yoyote kenya, akifa ndio utajua ako na shamba lao na kwao, mahali anazikwa na nyumba, mitandao imewadanganya, hamuijui kenya bado
 
😀😀😀😀 mbona unatapika hvo
Gdp ya kenya imeshinkwa na investors lakini wakenya ni masikini hakuna mfano.......
So mm nilifkiri kwanza mupambane na njaa janga la taifa alafu mkimaliza muje
By the way znz ni mji wakitalii unafahamika kitambo sana......
Haha acacia niya Tz?? Vile mnaporwa hapo KCB,EQUITY na kampuni mingi za Kenya zunashikilia uchumi wenu
 
Kweli kama level yao ni Ku rent dormitory hatuwezi wafikia , maana uku watu wana own land na wana build houses za ndoto yao

Yani Tanzania raha sana imagine una tengeneza nyumba unayotaka ukae na family yako

Poor Kenyan wanaishi dormitory na wanalipa rent kwa dormitory lord

Imagine mwanaume wa Kenya hana mawazo ya kujenga Nairobi yy mawazo ni kuishi dormitory ya ndoto zake akiwa na mke wake , na ndio maana wanawake wana wachapa sana wanaume wa Kenya maana hawana mawazo ya Ku own land wala house

Its humiliation kwa wanaume wa Kenya na GDP kubwa yao
halafu ma-youth wengi wa nairobi wanalala sitting room kutokana na uhaba wa vyumba ktk baadhi apartment.

hii hutokea pale baba anapolipia apartment ya two bedroom halafu ana watoto watatu au wanne wa kiume na kike.

katika situation kama hii,Mara nyingi mtoto wa kiume huamuliwa kulala sitting room.

"wa mwisho kulala wa kwanza kuamka".
I saw this with my own eyes last year when I visited one family in nairobi.so shame...imagine

NB:
ifahamike kuwa ni wakenya wachache sana wenye uwezo wa kulipia three bedroom apartment.
kupata apartment ya ndoto yako jijini Nairobi ni very expensive.itabidi ulipie pesa nyingi.
minimum price for a beautiful 3bedroom apartment in nairobi is ksh80000 to ksh100000 per month.
hiyo ni pesa nyingi sana sio masihara.

hapo ndio unakuta baadhi yao wanalazimika kwenda ku-rent house kwenye maeneo duni kama kibera,mathare,mukuru kayaba nk.
 
Mjinga mwingine anatupostia place ya kutengeneza nguo hahaha. ......anatambua EPZ in Kenya kweli. ...

kwani are some of these Tanzanians school drop outs..
smh. it gets more interesting
 
halafu ma-youth wengi wa nairobi wanalala sitting room kutokana na uhaba wa vyumba ktk baadhi apartment.

hii hutokea pale baba anapolipia apartment ya two bedroom halafu ana watoto watatu au wanne wa kiume na kike.

katika situation kama hii,Mara nyingi mtoto wa kiume huamuliwa kulala sitting room.

"wa mwisho kulala wa kwanza kuamka".
I saw this with my own eyes last year when I visited one family in nairobi.so shame...imagine

NB:
ifahamike kuwa ni wakenya wachache sana wenye uwezo wa kulipia three bedroom apartment.
kupata apartment ya ndoto yako jijini Nairobi ni very expensive.itabidi ulipie pesa nyingi.
minimum price for a beautiful 3bedroom apartment in nairobi is ksh80000 to ksh100000 per month.
hiyo ni pesa nyingi sana sio masihara.

hapo ndio unakuta baadhi yao wanalazimika kwenda ku-rent house kwenye maeneo duni kama kibera,mathare,mukuru kayaba nk.
3 bedroom unaeza pata na 18-30k eastlands
 
povuuuu

kenyatta family land ownership in kenya.
368f6e61b0b94654f69a7bd52abeafe0.jpg
ddbb711ec96d0a65c2f1bbf6ca24837b.jpg
Kenya is Kenyan owned..Tz is Arab owned
 
I am sure those hotels in Zanzibar 95% ni ya Arabs. hata zile dormitories za Zanzibar ni project ya mwarabu.....those are descendants of said sayyid....Hahaha
 
unaweza ukapata but of a very lower quality.naifahamu nairobi vizuri kijana.huna la kunidanganya.

halafu Nina wasiwasi wewe unalala sitting room.


there is no single quality apartment you have managed to post here Mr natambua Nairobi nonsense. ....those ugly houses you used to post here ndio quality? .....are your marbles really rolling upstairs msee?
 
there is no single quality apartment you have managed to post here Mr natambua Nairobi nonsense. ....those ugly houses you used to post here ndio quality? .....are your marbles really rolling upstairs msee?
punguza hasira...umepata breakfast kweli?.

njaa inawafanya mda wote muwe na hasira.
 
Atleast we are sure Uganda won't surpass you.mkumbuke wana mafuta 6 billion barrels.....Tanzanians should stop imagining that they are the only people developing. .....Kenya is sprinting as you build resort city
6 biilion barrels uganda oil remember will be passing tanzania😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom