Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


still si nyumba za udongo ni za matofali na bati na kuna barabara za Lami na umeme umepita! sasa nikuletee nyumba za udongo Nairobi? sema suuu!

hebu hesabu mwenyewe!
1000_F_359510727_TMgdHS8XgLBQacvDTwrTXjuWXE8e5vKP.jpg

kibera-biggest-slum-africa-slums-nairobi-kenya-nairobi-kenya-kibera-biggest-slum-africa-one-158637492.jpg
 
I will save this 4 the laughing party 2027….🤣🤣🤣🤣
Hakuna siku ikatokea mkenya aka save msg alafu akashinda mbele ya mtanzania, never never never, unaongelea render ambayo hata serikali yenu haiijui, lkn hata kama mkijenga haitakuwa shida mana tayari sisi tunavyo viwanja bora ambavyo ni approved na bado tunajenga vingine vipya na sio kimoja.
 
yuko kwa Bodaboda hapo halafu ana-claim driving! Ukunya ni tabia! hata akiwa kwa mgongo wa punda ata-claim ana-drive! 😆 😆 😆
Wakenya wakionesha maisha yao halisi huwa wanachekesha kweli, sasa kama huyu tayari tushajua life lake ni la ku struggle 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom