Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eti miradi ya kawaida Tanzania? Miradi gani ya kawaida Tanzania wakati jini lenu limejaa uswazi mwanzo mwisho? Mibongolalala, mnafurahi sana kuona vipicha kama hizo wakati sisi zimejaa kila mahali. Don't you know Nairobi is home to gated communities in East and central Africa? Take a look at Nyayo estate below and take a chill pill bongolalasView attachment 2759811View attachment 2759812View attachment 2759813View attachment 2759820View attachment 2759821
Utaweka vipicha hivi hivi miaka nenda rudi mpaka utazeeka, sisi tunaweka picha mpya kila siku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
View attachment 2754219
Moja kati ya jengo baya zaidi duniani.
Yes, ni moja ya majengo bora duniani because it withstood a terrorist attack in 1998 when a neighboring building housing the US embassy was reduced to rubbles. Umesikia bongolala?
images (83).jpeg
images (82).jpeg
images (81).jpeg
 
Utaweka vipicha hivi hivi miaka nenda rudi mpaka utazeeka, sisi tunaweka picha mpya kila siku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe ni kipi umeleta kipya? Moja ya projects ulizoleta hapa ni Eco deco village. Huu mradi mlianza kupost humu since 2017 na ni Ile ile. Make Google your friend and find in out the sheer size ya Nyayo Estate dhidi ya hizo ujinga zenu. Yani hizo miradi haziingi hata nusu ya Fourways Junction and many other projects I can mention here
 
Wewe ni kipi umeleta kipya? Moja ya projects ulizoleta hapa ni Eco deco village. Huu mradi mlianza kupost humu since 2017 na ni Ile ile. Make Google your friend and find in out the sheer size ya Nyayo Estate dhidi ya hizo ujinga zenu. Yani hizo miradi haziingi hata nusu ya Fourways Junction and many other projects I can mention here
Hohoho!… I forgot about fourways junction…. My cousin owns a house there… the place is huge… wow!… Nairobi got too many estates to count….
 
Wewe ni kipi umeleta kipya? Moja ya projects ulizoleta hapa ni Eco deco village. Huu mradi mlianza kupost humu since 2017 na ni Ile ile. Make Google your friend and find in out the sheer size ya Nyayo Estate dhidi ya hizo ujinga zenu. Yani hizo miradi haziingi hata nusu ya Fourways Junction and many other projects I can mention here
I wish I can fit fourway junction in one photo but it’s impossible…below is not even a quarter of the estate…Kama América mwanangu… halafu Mabongolalas wana post Zile ugly roofs za Dodoma…🤣🥲🤣🥲
336FD32A-D733-473F-B5A7-9E055A0C980A.jpeg
04B97E75-372E-4DCA-B116-DFB93A74E11D.jpeg
DDE5F3A4-D4EA-4B01-AD0A-6C3A5E3A65F6.jpeg
51F593A5-237D-47A9-A347-AEB21FFBD056.jpeg
 
Hohoho!… I forgot about fourways junction…. My cousin owns a house there… the place is huge… wow!… Nairobi got too many estates to count….
Hawa mibongolalala zikifanikiwa kujengaya few gated communities of three housesewanaona wamefika ndipo. Wanasahau kwamba Nairobi is home to the highest number nof gated communities ukanda huu.

Waende pale Nyayo Estate Embakasi, Greatwall Apartments, The Cycads, The Horseshoe Village, Situ Village, Edenville, Bahati Ridge, Greenpark, Karen Hills and many other places wakenue meno kwanza ndio warudi hapa na povu zao
 
Eden Ville estate….. you cant even see the end… and it’s still expanding…. And View attachment 2759927It’s not even the biggest….this not somewhere in California… Can we please rest the real estate battle… it’s not even fair…🤣🤣🤣..
Btw I don't think Eden Ville can even rival Fourways Junction in terms of size. But just look at how expansive Edenville looks! Then compare to the minions the bongolalas are posting in here. Yani nabaki tu nikicheka
 
Wewe ni kipi umeleta kipya? Moja ya projects ulizoleta hapa ni Eco deco village. Huu mradi mlianza kupost humu since 2017 na ni Ile ile. Make Google your friend and find in out the sheer size ya Nyayo Estate dhidi ya hizo ujinga zenu. Yani hizo miradi haziingi hata nusu ya Fourways Junction and many other projects I can mention here
Ukiweka mradi mpya wenye magnitude hii Kenya naondoka jamiiforums 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20230922-133459~2.png
 
Eden Ville estate….. you cant even see the end… and it’s still expanding…. And View attachment 2759927It’s not even the biggest….this not somewhere in California… Can we please rest the real estate battle… it’s not even fair…🤣🤣🤣..
Ujenzi wa mkoloni huo, siku hizi estate zinajengwa hivi 👇👇
Screenshot_20230922-133459~2.png
 
I wish I can fit fourway junction in one photo but it’s impossible…below is not even a quarter of the estate…Kama América mwanangu… halafu Mabongolalas wana post Zile ugly roofs za Dodoma…🤣🥲🤣🥲View attachment 2759921View attachment 2759922View attachment 2759924View attachment 2759925

Tuwe wakweli, hivi kwa mfano wewe kama unaambiwa uchague pakuishi utaenda hapa kwenye huu uchafu au utaenda Dodoma, jiulize alafu jijibu mwenyewe kisirisiri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20230922-133459~2.png

04B97E75-372E-4DCA-B116-DFB93A74E11D.jpeg
336FD32A-D733-473F-B5A7-9E055A0C980A.jpeg
 
Back
Top Bottom