Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wao wanaongelea planning of 48km wakati sisi tunamaliza 152km dual carriageway.🤣

Nairobi - Marua Road
images - 2023-09-11T103047.698.jpeg
 
74% ya 152 km si 84 km inayoonyeshwa kwenye clip! Mkundustan wacha upumbavu!
Hujielewi. Barabara Ni Nairobi - Marua. 84km Ni Kenol - Marua ambayo imekuwa upgraded to dual carriageway juzi. Nairobi - Kenol is already dualed. Meza wembe. Alafu kila siku unajichocha humu wewe Ni engineer na unaijua Kenya yet hakuna kitu unaelewa.🤣
 
Hao wote ni Watanzania ubaguzi bakiza kwenu kati ya kikuyu na jaluo.
Ikija kwetu mnasema wazungu, kwenu mnataka kujifanya eti ni Watanzania. Kama hamna ubaguzi mbona Wasukuma wasiwe matajiri kama Hao Wahindi Na Waarabu? Alafu waarabu wenyewe hata hawafiki elfu 100 yet wameshikilia kila sector ya uchumi.🤣🤣
 
In individuality NMB ni most profitable sababu NMB ipo Tanzania tu wakati hizo banks za Kenya zimekusanya matawi yao yote mpaka nje ya Kenya lakini bado the difference ni ndogo sana, zikisimama na domestic operations NMB inakua number 1
Hata hayo mapato ya Equity sio Equity bank bali ni Equity Group ambayo ina other businesses apart from banking.
 
Unauliza 🤣🤣 120km unadhani ni hizo street roads za huko Nairobi?

Sii 120 bradhee, ni 110.
Bado hamjafika 152km. Hehehe

Nairobi yenyewe ring road zake ukijumuisha zimepita hiyo 110. Yani mkijaribu tu kutukaribia tunasonga mbele zaidi.
 
Back
Top Bottom