Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

A view of the Nairobi's Industrial area.
Screenshot_2023-09-10-08-29-15-75_4937eb900e197f95da98f502ddfb10e1~2.jpg
Screenshot_2023-09-10-08-27-19-55_4937eb900e197f95da98f502ddfb10e1~2.jpg
Screenshot_2023-09-10-08-27-01-81_4937eb900e197f95da98f502ddfb10e1~2.jpg
Screenshot_2023-09-10-08-26-50-59_4937eb900e197f95da98f502ddfb10e1~2.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2023-09-10-08-28-52-85_4937eb900e197f95da98f502ddfb10e1~2.jpg
    Screenshot_2023-09-10-08-28-52-85_4937eb900e197f95da98f502ddfb10e1~2.jpg
    119.3 KB · Views: 1
Are you sure this is Kenya?…… what about Kibera?…🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wengi wao hawana exposure alaf pia ni watu waliokaririshwa sana kua wao wako mbele sana kuliko africa, yani hio kitu iko kichwani mwao miaka na miaka sasa wamedumazwa na wanasiasa wao ili wasifungue macho kuangalia africa wao wafungue macho kuangalia europe😅😅

Sasa leo wanashtukizwa na maendeleo ya africa na kila wakiangalia nchi yao ilivo ambayo wao walidhani ni level za norway au finland ndio wanabaki kua na hasira kali sana yani wanahisi kama wamerudi nyuma miaka 30 na ni kweli wamerudi nyuma yote kwasababu ya kudanganywa na sifa za uongo ambazo dunia ya leo inawaumbua 😁
Another day, another Bongolala self projection….. you are really funny..🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nikitoa taarifa tanroads, unaikataa unaniletea ya IG na Twitter, nikitumia ya IG na Twitter unakataa unanirudisha tanroads. Yani nyinyi wabongo huwa wabishi tu hadi mnaweza kana mama zenu. Pthoo🚮🚮
We fala nini,nimekupa ushahidi wa video unaoeleza ujenzi wa Barabara na gharama yake unaruka ruka kama mkojo na kulazimisha upuuzi wako wa wivu na chuki.

Peleka upuuzi wako Kundustan ndio mtaelewana.
 
We fala nini,nimekupa ushahidi wa video unaoeleza ujenzi wa Barabara na gharama yake unaruka ruka kama mkojo na kulazimisha upuuzi wako wa wivu na chuki.

Peleka upuuzi wako Kundustan ndio mtaelewana.
Ushahidi upi?

Huu?
1.png

Ama huu?
1.jpg


Ama huu?

1.jpg


Yani wewe hata ukishikwa na mkono chunguni na nyama mdomoni utakana sio wewe uliyekula nyama. You're very dumb. 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom