The longest dual carriage Highway in East and Central Africa
View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1700829451016143341?t=9gfU6iY1-DN5detP1rCEKg&s=19
Hii hapa 😅😅👇👇👇Leta ya Mwanza tulibganishe
View attachment 2745500
Kenyatta anashikilia nchi nzima yani kenyatta serekali ya kwake ardhi nyingi sana zakwake, makampuni makubwa yakwake, misitu yakwake na nyinyi punda muliomo ndani niwa kwake pia 😅😅😅😅😅Kenya hukuna tajiri anaeshikilia sector nyingi ndio maana huwezi kuwaskia. Ila bongoland waarabu wame wakamata
Jangwani are you guys having quarrels with trees?
Soma content uelewe sio kukurupuka naona Unashangaa hiyo picha.Do you know what a dual carriageway is?🤣
Kwa Mwendo wa uchumi unavyokwenda Kwa Sasa naona NMB ikiwa ya pili na sooner ku top EAC hapo.
View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1700428952987128242?t=wJxeoGfI0ZWNNlB3tMtgQg&s=19
Na bank ambayo ni tishio kubwa sana kwao ni CRDB subiri miaia miwili ijayo alaf utaona itakavowafanya humu ndani 😅😅😅😅In individuality NMB ni most profitable sababu NMB ipo Tanzania tu wakati hizo banks za Kenya zimekusanya matawi yao yote mpaka nje ya Kenya lakini bado the difference ni ndogo sana, zikisimama na domestic operations NMB inakua number 1
Wengi wao hawana exposure alaf pia ni watu waliokaririshwa sana kua wao wako mbele sana kuliko africa, yani hio kitu iko kichwani mwao miaka na miaka sasa wamedumazwa na wanasiasa wao ili wasifungue macho kuangalia africa wao wafungue macho kuangalia europe😅😅Nimegundua vitu vingi hawa Wakundustan wanadhani wapo mbele sana vinapungua na vingine kupitwa vibaya
Imagine anaongelea SGR - TZ inajenga Longest SGR in Africa at the moment.
Dry port? Tuna KWALA 😎.
Airport ?😂😂😂
Nadhani imebaki tu office za UN, hata Bongo ipo Moja
View attachment 2745595
Kumbe they live side by side 😁
Hizo kopo zenu hazitakaa ziwe replaced milele.Those are electric buses wewe boya, aim ni zireplace matatu
Wewe mwenyewe hujasoma content unaniambia nisome content. Tweet inasema 48.9 dual carriageway wee unasema longest in East Africa wakati sahii Kenya kuna 152km continuous dual carriageway Nairobi to Marua.Soma content uelewe sio kukurupuka naona Unashangaa hiyo picha.
Kwa Mwendo wa uchumi unavyokwenda Kwa Sasa naona NMB ikiwa ya pili na sooner ku top EAC hapo.
View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1700428952987128242?t=wJxeoGfI0ZWNNlB3tMtgQg&s=19
Kiswahili ni tatizo kubwa sana Kwa Wakunya,let me put in another way ndio uelewe.Wewe mwenyewe hujasoma content unaniambia nisome content. Tweet inasema 48.9 dual carriageway wee unasema longest in East Africa wakati sahii Kenya kuna 152km continuous dual carriageway Nairobi to Marua.
View attachment 2745614