Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

UDSM
Screenshot_20230905-175038_1.jpg
Screenshot_20230905-175002_1.jpg
Screenshot_20230905-174859_1.jpg
 
Bro nyie mko nyuma yetu mno likija suala la usafiri yani huko wala sie hatuna mpinzani, ukiachana na nchi za kiarabu ni SA pekee ndio anatuzidi kwenye sector hiyo . Yaani nchi za chini ya jangwa la sahara sisi ni namba mbili kaka baada ya SA.
Kapanga nani hiyo ratiba!? Kasema nani!? Wewe sio!?
 
Tena bado sana jengeni manake ilala pekee kuna magorofa yananinuka kila kona ilala ina magorofa kuliko nayoyaona hapo 😅😅

So bado muna safari kubwa sana kwenye ujenzi 😁😁😁
 
Back
Top Bottom