Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Made in Kunyaland Presidential motorcade 🤣🤣🤣🤣🤣

View: https://twitter.com/AfricaViewFacts/status/1698380369911758890?t=5CgkrcCJrvfXdJW2AMv9hw&s=19
20230904_135042.jpg
20230904_135036.jpg
20230904_135039.jpg
20230904_135045.jpg
 
Kuna ile nyingine mtu kainama anakunywa maji sijui ya mtaroni yale 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ninayo maktaba nimeijenga mahususi sababu ya kushughulika na hawa makonokono, ya nafikiri kuna mafala ya kuwapanga humu 🤣🤣🤣 hawajui tuna kila supportive attachment ya kuwavua nguo 😂😂

Kunyaland inahitaji decades kama 5 hivi watackle janga la maji walilonalo angalau kwa 30% hali ni mbaya acheni kabisa.

Kunyaland hata maeneo posh kunywa maji yenye mchuzi wa mavi wala si ajabu tena wanashukuru kuliko kukosa kabisa hayo maji sababu ni kawaida kukosa hata maeneo yao ya vibopa 😂😂

Screenshot_20220517-073458.png
Screenshot_20220526-211020.png
Screenshot_20211201-160548.png
 
Back
Top Bottom