Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nice edit.
Voa wawaedit kwa kipi mnachowatisha na hayo makarai yenu? 😂😂😂

Screenshot_20230904-070613.jpg
 
Ninayo maktaba nimeijenga mahususi sababu ya kushughulika na hawa makonokono, ya nafikiri kuna mafala ya kuwapanga humu 🤣🤣🤣 hawajui tuna kila supportive attachment ya kuwavua nguo 😂😂

Kunyaland inahitaji decades kama 5 hivi watackle janga la maji walilonalo angalau kwa 30% hali ni mbaya acheni kabisa.

Kunyaland hata maeneo posh kunywa maji yenye mchuzi wa mavi wala si ajabu tena wanashukuru kuliko kukosa kabisa hayo maji sababu ni kawaida kukosa hata maeneo yao ya vibopa 😂😂

View attachment 2738201View attachment 2738199View attachment 2738200
Ndio maana kipindupindu hakiishi huko kunyaland.
 
Mombasa inakosaje maji na mito yote inayotiririsha maji baharini? Wameshindwa kutengeneza dams za kukinga maji na kusafisha? Kweli wakundustan wamenyimwa akili wakapewa njaa 😂😂
Wanaacha maji yote fresh yanaingia kwenye chumvi 😂 , Kwa kuwa wao ni advanced nation watafanya desalination ili kuyapump tena for use in Homes and other areas. Hii yote inawezekana maana ni Scandinavian country iliyopo huku kimakosa. TOPESTAN 😂
 
Wanaacha maji yote fresh yanaingia kwenye chumvi 😂 , Kwa kuwa wao ni advanced nation watafanya desalination ili kuyapump tena for use in Homes and other areas. Hii yote inawezekana maana ni Scandinavian country iliyopo huku kimakosa. TOPESTAN 😂
😂😂😂😂 Wakifanya hivyo week 1 nchi yote inapigwa mnada na mejembe auction mart, gharama ya desalination tu itawafanya wauze Lita 1 kwa million 2

Ni nchi kama UAE, Kuwait, Qatar ndio wanamudu hizo shows 🤣 hawa waendelee kunywa mchuzi wa vinyesi tu sababu maji ya bei rahisi tu kuchimba futi 3 ardhini nusu kaburi kumewashinda 🤣

Desalination plant Kuwait
images (54).jpeg
 
Back
Top Bottom