Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huwa nafurahia jinsi vitu ndogondogo zinawashtua nyie wabongo. Sector ya internet tuko mbali saaana na nyinyi. Yeyote aliyetembelea nchi yoyote ya Africa alafu akaja Kenya atakueleza jinsi tuko mbele mambo ya internet. Yani hata bundle hatuziongelei sisi. Huwa nasikia tu mkilia humu eti bundle bundle, Huku 70% ya nyumba mjini zina WiFi. Ushagoo pia WiFi imeingia kwa kasi sana. Yani nikiskia mkiongelea Wifi huwa nacheka sana. 🤣
Msikize mbongo mwenzako anavyoongelea internet ya Kenya pale 7:03


View: https://www.youtube.com/watch?v=nBD0DnYEzn8

Kwaiyo Kenya internet ni bure?
 
Utasikia eti hayo ni maneno ya kwenye makaratasi
From which source maana aliepost huyo hampendi mama samia unategemea atasema lipi zuri ni vichekesho nairobi haina maji mjini what about huko ushago? Tumia tu akili ya kuzaliwa ??🤣🤣🤣🤣🤣

Mombasa iko near ocean na haina maji mjini yani usitumie akili kubwa kujua hilo pia

Tanzania iko mbali sana tena sana kwenye suala la maji yani level ya mbali sana😅😅

Tafuta official source of what he posted mm nikuoneshe kenge anekata viuno🤣
 
From which source maana aliepost huyo hampendi mama samia unategemea atasema lipi zuri ni vichekesho nairobi haina maji mjini what about huko ushago? Tumia tu akili ya kuzaliwa ??🤣🤣🤣🤣🤣

Mombasa iko near ocean na haina maji mjini yani usitumie akili kubwa kujua hilo pia

Tanzania iko mbali sana tena sana kwenye suala la maji yani level ya mbali sana😅😅

Tafuta official source of what he posted mm nikuoneshe kenge anekata viuno🤣
Bongolala elekeza hasira na povu zako hapa

View: https://twitter.com/AbroadTanzania/status/1697943541224476815?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1697943541224476815%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=
It's your own TV station so hayo maswali waulize wao
 

Source ni ipi leta source ???? Na ukipata nitag mm 😅😅😅😅 kazi yenu kudanganywa na kujidanganya nothing else another slum was discovered

View: https://twitter.com/LadyVivienneTaa/status/1122593266220896257?t=1egn8FRWDTXrltUr4PjFrw&s=19
 
So tafuta official source from, hata mm naeza fungua acc nikaandika nachotaka naeza andika slum ya kibera iko congo au USA na watu wakaamini vile vile 🤣🤣🤣🤣🤣
Fungua basi uandike Tanzania ndio ya kwanza duniani kwa maji safi
 
Fungua basi uandike Tanzania ndio ya kwanza duniani kwa maji safi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yani nyinyi machizi wa kwenda tafuta project hata moja ya maji inayoendelea nairobi au mombasa nicheke mpaka asbh yani kwenye suala la maji achana nalo na huwez pata hio source huwez never ever 🤣🤣🤣🤣
 
Wakunya kwenye masuala ya Ujenzi wa madaraja mtuache bakeni kuwa wapenzi watazamaji tuu

View: https://www.instagram.com/p/CwsTkEMMsJY/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
-1360852017.jpg
-1124850901.jpg
703786426.jpg
-2065492533.jpg
 
Back
Top Bottom