Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tukisema hamujui kinachoendelea ndani ya nchi yenu na baadaye mnakuwa obsessed na masuala ya Kenya mnadhani hatuijui tunachosema. Sasa si hata wewe unaona hujui yanayofanyika ndani ya nchi yenu ilhali unajua how much KQ is making in losses?

Bongolala, ni wapi ulisoma kwamba ATCL ilipunguza hasara kwa karibia 50%? Can you prove these claims from a reliable source?

According to your country's Controller and Auditor General's
report, ATCL reduced losses by a paltry TSH 900 Million from TSH 36.1b to TSH 35.2b. Does that represent 50% as you imply?

Secondly, ATCL's losses were largely atributted to flight delays ( up to 25% flight delays). Yes you heard me right, 25% flight delays!!! Yani shirika lenu halijui kukeep time. Wewe nawe hapa unatuambia kwamba losses zilitokana na madeni za kitambo which is flatly wrong according to that report.

Danganya watanganyika wenzako, si mtu kama mimi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimekwambia loss ya tanzania each year inapungua na huu ndio ushahidi nioneshe loss yenu ikipungua nikuoneshe kenge anaekata vibuno kama zuchu 👇👇👇 nimechukua kwenye report uliopost
Screenshots_2023-09-02-08-51-24.png





And for ur information hii ni report ya 2021/2022 sasa subiri report ya 2022/2023 alaf nioneshe loss imeongezeka au imepungua 🤣🤣🤣🤣


Yani ww uijue tanzania kuliko mm are u serious?? Kabisa unapanua fuvu kua ww uijue tz kuliko mm😅😅😅😅😅

Na usitumie hasira hii ni report ya kq mwaka huu in just 6 months loss nikubwa kuliko loss iliotengezwa mwaka jana mzima 👇👇👇
20230902_085657.jpg


View: https://twitter.com/StandardKenya/status/1696757137723331002?t=u4Q5uWjRAgWFKUpcyq36vg&s=19
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimekwambia loss ya tanzania each year inapungua na huu ndio ushahidi nioneshe loss yenu ikipungua nikuoneshe kenge anaekata vibuno kama zuchu 👇👇👇 nimechukua kwenye report uliopost
View attachment 2736316




And for ur information hii ni report ya 2021/2022 sasa subiri report ya 2022/2023 alaf nioneshe loss imeongezeka au imepungua 🤣🤣🤣🤣


Yani ww uijue tanzania kuliko mm are u serious?? Kabisa unaoanua fuvu kua ww uijue tz kuliko mm😅😅😅😅😅

Na usitumie hasira hii ni report ya kq mwaka huu in just 6 months loss nikubwa kuliko loss iliotengezwa mwaka jana mzima 👇👇👇
View attachment 2736320
Hii sasa hadi graph zitachimba mafuta huko Chini 😂😂😂😂😂😂
 
Tukisema hamujui kinachoendelea ndani ya nchi yenu na baadaye mnakuwa obsessed na masuala ya Kenya mnadhani hatuijui tunachosema. Sasa si hata wewe unaona hujui yanayofanyika ndani ya nchi yenu ilhali unajua how much KQ is making in losses?

Bongolala, ni wapi ulisoma kwamba ATCL ilipunguza hasara kwa karibia 50%? Can you prove these claims from a reliable source?

According to your country's Controller and Auditor General's
report, ATCL reduced losses by a paltry TSH 900 Million from TSH 36.1b to TSH 35.2b. Does that represent 50% as you imply?

Secondly, ATCL's losses were largely atributted to flight delays ( up to 25% flight delays). Yes you heard me right, 25% flight delays!!! Yani shirika lenu halijui kukeep time. Wewe nawe hapa unatuambia kwamba losses zilitokana na madeni za kitambo which is flatly wrong according to that report.

Danganya watanganyika wenzako, si mtu kama mimi
Ww unapost report ya 2021/2022 kwann hutafuti ya 2023 sasa ngoja nikuoneshe kitu uelewe 😅😅😅😅😅 na usipoelewa hapa, hutaelewa maisha yako yote mark my words




2020 Air tanzania loss ilikua 60b 👇👇

View: https://twitter.com/dailynewstz/status/1376128570666459140?t=y_oi1WlK3zbREfZx-cxz9w&s=19




2021/2022 Air tanzania loss ikashuka mpaka 35b almost 50% 👇👇👇👇

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1641033231863611392?t=2obZhhZRzgX7mTJJp8ipIg&s=19



Sasa tunasubiri report ya 2022/2023 tuone na nitakutag worry out 😅😅😅😅 mm kazi yangu ni moja kuwasugua roho zenu na ukweli, hamupendi ukweli kwasababu mulizoea kudangnywa na nyinyi kudanganya sasa mm kazi yang nikuwaambia ukweli hata kama mchungu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimekwambia loss ya tanzania each year inapungua na huu ndio ushahidi nioneshe loss yenu ikipungua nikuoneshe kenge anaekata vibuno kama zuchu 👇👇👇 nimechukua kwenye report uliopost
View attachment 2736316




And for ur information hii ni report ya 2021/2022 sasa subiri report ya 2022/2023 alaf nioneshe loss imeongezeka au imepungua 🤣🤣🤣🤣


Yani ww uijue tanzania kuliko mm are u serious?? Kabisa unapanua fuvu kua ww uijue tz kuliko mm😅😅😅😅😅

Na usitumie hasira hii ni report ya kq mwaka huu in just 6 months loss nikubwa kuliko loss iliotengezwa mwaka jana mzima 👇👇👇
View attachment 2736320

View: https://twitter.com/StandardKenya/status/1696757137723331002?t=u4Q5uWjRAgWFKUpcyq36vg&s=19

Warudishe tuu ndege za watu zitawaua kwa hasara. Kila mara government bailout ni mzigo kwa Taifa.
 
Hawana Bundle leo weekend wengi wanaodandia Wi-Fi ya kwenye kibarua hawawezi ofisi zimefungwa😂😂😂😂
Jamaa sijui wana maisha gani aisee, yani wapo kuzimu kabisa. Mkenya na Wi-Fi ni kama chanda na pete, alafu Wi-Fi yenyewe ya kudandia, yupo ladhi akae seem ata masaa sita akidandia Wi-Fi aisee. Jamaa wako nyuma kwakweli, wana maisha magumu sana, hata mavazi yao au nyumba wanazoishi ukiangalia ni kizamani mnooo. Ndio maana huwa nasema wakenya hawatoenda motoni mana moto tayari wanaupitia hapa duniani.
 
Back
Top Bottom