Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
nimekupata 😀😀Dar kipindi hiki ni joto na vnywaji baridi vinapatikana kwa wingi ni wewe tu.
Lakini nakushauri kitu kimoja, huku kwetu mwanaume kuomba kwenda kwa mwanaume mwenzake kwa sababu ya baridi ni tatizo kubwa sana. Wanawake ndio huomba kwenda kwa mwanaume kwa sababu ya baridi.
Hope umenielewa. Labda uwe unafanya biashara za Mombasa ambazo kwetu buki haziruhusiwi utakamatwa na vijana wa Makonda.