Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar kipindi hiki ni joto na vnywaji baridi vinapatikana kwa wingi ni wewe tu.
Lakini nakushauri kitu kimoja, huku kwetu mwanaume kuomba kwenda kwa mwanaume mwenzake kwa sababu ya baridi ni tatizo kubwa sana. Wanawake ndio huomba kwenda kwa mwanaume kwa sababu ya baridi.
Hope umenielewa. Labda uwe unafanya biashara za Mombasa ambazo kwetu buki haziruhusiwi utakamatwa na vijana wa Makonda.
nimekupata 😀😀
 
nipe report,simba shoga ka-initiate kuwapatia watalii wangapi?.
emoji23.png
emoji23.png
sijapata data so far ila naskia kuna wengine kadhaa wameuziwa chupi za ngozi
emoji23.png
emoji23.png
 
hata nikatoroka sio shida kwani hela ninazo za kunitosha mpaka nife...baridi ikizidi inabidi tuje Dar kwenye joto jingi tujibambe
Haya toroka uje, ila kumwambia mwanaume mwenzio habar za baridi kuzidi sio deal huku bongo.

Makonda atakutia ndani maana unaweza kuwa na tabia za kimombasa!
 
Haya toroka uje, ila kumwambia mwanaume mwenzio habar za baridi kuzidi sio deal huku bongo.

Makonda atakutia ndani maana unaweza kuwa na tabia za kimombasa!
nadhani nilieleweka...mimi ninapenda sana madem...hata natamani nimkute Zuwenna December tutembee...tabia za kiseng.e sipendi....
emoji23.png
emoji23.png
 
sawa sirudii tena boss.
ila ukitamani sana kutazama hio video usijali bro tafuta sabuni tu na uendelee na kazi ndugu yangu...
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
umeinsist sana kwa hio mambo licha ya mimi kulenga hio story...vipi nikukatie tiketi kwenda Mombasa?
emoji23.png
emoji23.png
 
nitaandika utani kama ukivyoandija wewe.

on a serious not,ninachowapendea wakenya ni ile hali yao kupenda sana kuiga uzungu.

yaani ukifika jiji la nairobi katika mitaa ya kenyatta/moi avenue au maarufu kama nairobi CBD utaelewa hili ninalolizungumza.

utakuta wakenya hasa watu wa makamo wamevalia makoti ya suti za mitumba na suruali za vitambaa huku viatu vya ngozi viking'a,wanatembea kwa haraka kweli kweli wengine hata wasijue kilichowapeleka CBD...hii yote ni katika kuiga uzungu ili nao waonekane wazungu.

vijana wa nairobi licha ya kwamba nao wana vijitabia kama vya wazazi wao,wamejikita zaidi kuiga tamaduni za wajamaica na wamerekani weusi....siku za weekend utawakuta mitaa ya CBD
wamesokota nywele(dreadlocks),kutoboa masikio,vipini puani na kuvaa ma-jumpers jacket huku wakijaribu kuiga maisha ya mwanamziki mtukutu wa jamaica vybz kartel.
hahaha.......wanaitwa waras
 
......Mbona huwa mnatuonea sana Tanzanians hahaha...mkiona mkenya ni kama mmeona nyoka mwenye sumu.It's just that we are brought up to believe in ourselves so much and get whatever we want by all means.So on behalf of fellow Kenyans we apologize for that.Mtajua hamjui my frens........mnatuchezea rough coz Uhuru Kenyatta ni mpole na mwenye huruma.....2022 kuna probably William Koitalel Arap Samoei Ruto.....mtapata majibu mnatafuta kwa kuchokoza Kenya kila mara
Ruto zii brathee, that guy Noo, but thats a discussion for another time
 
si useme tu kwamba wewe ni mkikuyu/mkalenjin.

BTW nilisikia kwamba there is a secret MOU between the two tribes that after uhuru,the next president "must be chosen" from kalenjin...probably ruto.
Nimeskia pia habari za chini ya carpet ni kuwa Wakikuyu wanapanga kumpiga chini Ruto 2022 na kusimamisha mtu mwingine.
 
Back
Top Bottom