Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So wao ni wendazimu sio? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 boss ukweli unabakia pale pale..,

View: https://www.youtube.com/watch?v=5fPctaQv478

View: https://www.youtube.com/watch?v=Tezz6lrrDk0
Huyu ndio alidharau Masaki.., na anasema tofauti kati ya Dar, Kampala na Nairobi.., boss jinyonge tu ufe, ukweli mchungu..,

View: https://www.youtube.com/watch?v=-DX5rNBr-M4&pp=ygUQU2FiYmF0aWNhbCBLZW55YQ%3D%3D

Twende kwenye ukweli, tuache huu ukatunist unaofanya, je wewe leo ukifa then ukapewa nafasi uchague uzaliwe wapi Tz au Kenya, hivi utachagua ipi?
 
Twende kwenye ukweli, tuache huu ukatunist unaofanya, je wewe leo ukifa then ukapewa nafasi uchague uzaliwe wapi Tz au Kenya, hivi utachagua ipi?
Hapa East Africa obviously ni Kenya, Tanzania taifa lenye raiya hawana sauti, ufukara unaotokana na ushamba na kutokujua mengi, Kenya has better infrastructure, fast internet, vast business networks, better education, good exposure, best communication network, reforming/progressive political landscape(kuna mabadiliko), sio hiyo CCM tangu mababu hamna reforms..,
Uganda a military state, poor infrastructure, limited networks.,
Rwanda is overrated.., been there, apart from cleanliness and organization bado sana., hakuna mengi ya kufanya kule.., kisha they see u as an outsider.., wako reserved sana.,
Burundi same whatsapp group na Tanzania kifikra na maisha..,
 
Hapa East Africa obviously ni Kenya, Tanzania taifa lenye raiya hawana sauti, ufukara unaotokana na ushamba na kutokujua mengi, Kenya has better infrastructure, fast internet, vast business networks, better education, good exposure, best communication network, reforming/progressive political landscape(kuna mabadiliko), sio hiyo CCM tangu mababu hamna reforms..,
Uganda a military state, poor infrastructure, limited networks.,
Rwanda is overrated.., been there, apart from cleanliness and organization bado sana., hakuna mengi ya kufanya kule.., kisha they see u as an outsider.., wako reserved sana.,
Burundi same whatsapp group na Tanzania kifikra na maisha..,
Hii hapa ni 3 years ago wabunge wenu walitembelea Dom wakaonyeshwa tu plan ya DOM gvt city na projects zingine, ona vile wali react. Najiuliza vipi leo wakirudi then waone utekelezaji wa zile plan ulipofikia .. they gon respect us forever. 👇
View: https://youtu.be/esZGIQWAC4c?si=VtzS6R39HRsRD6F8.
 
The best 007 hii ndio nchi unataka nizaliwe ndani.., 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, make sure umepatia huyu simba kura yako, anastahili.., amekushinda na wewe ki fikra 😂 😂 😂 😂 😂
 
Pigieni huyu jama kura awe rais wa Tanzania.., ako na akili mingi, anaongea ukweli, wana CCM hovyo!! ichoboy01 kura yako pea huyu jamaa😂 😂 😂 😂 😂 😂
Sidhani kama huyu mpuuzi uliopost ana akili hata kuliko mimi, ni mchumia tumbo tu.. anyways him again.. 👇
View: https://youtu.be/aKLw4BlxfhQ?si=xcbemR9Vg2oN0Eyl. 🤣🤣🤣 Siasa za Tz ni upuuzi tu, wenyewe wanaita ni siasa za maji taka.. hao wapinzani wapo kukosoa lakini hawajui wanataka taifa lielekee dira ipi ..huyo kichaa alikua anabeza hapo Magufuli kujenga barabara, mashule na infrastructure zingine akidai hayo ni maendeleo ya vitu .. 🤣🤣 ndio huyo tumpigie kura.?
 
Niki nukuu mheshimiwa: "takwimu zinaonyesha 42% ya watoto wanaozaliwa Tanzania akili zao zimeduaa!!".., Sama boy 255 hapo amegonga ndipo, wengi wao mmejaa humu jf🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂, yaani kumbe mnajulikana., Ni ukweli wengi wenu humu akili zimeduaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sidhani kama huyu mpuuzi uliopost ana akili hata kuliko mimi, ni mchumia tumbo tu.. anyways him again.. 👇
View: https://youtu.be/aKLw4BlxfhQ?si=xcbemR9Vg2oN0Eyl. 🤣🤣🤣 Siasa za Tz ni upuuzi tu, wenyewe wanaita ni siasa za maji taka.. hao wapinzani wapo kukosoa lakini hawajui wanataka taifa lielekee dira ipi ..huyo kichaa alikua anabeza hapo Magufuli kujenga barabara, mashule na infrastructure zingine akidai hayo ni maendeleo ya vitu .. 🤣🤣 ndio huyo tumpigie kura.?

Wacha wewe, the guy has spoken the truth na ako na akili kukushinda wewe mara zaidi ya milioni, ameongea fact! kwa hii clip yako anaonyesha fursa kibao munazo, wacha wewe! boss uliskiza ama unapost reply tu hovyo hovyo.., huyu anazungumzia jambo jema sana, infact ana support na ku expound reasoning yake pale bungeni,., boss kubali yaishe, sio kila wakati unapinga tu.., this guy is reasoning well.., wewe hapa hautoshi, patia huyu kura yako wacha ufala wewe.

Checkout his points, the guy ako sawa sana..,

  1. Mwalimu Nyerere ali focus kwa maendeleo ya watu, wanakua na sound mind, watu wenye uwezo wa kufikiri kimantiki..,
  2. Unajenga hospitali na vifaa na madaktari hakuna.., huduma hovyo, madarasa mnajenga ila wanafunzi wanalishwa bogus, fikra zenu humu ni dhahiri dogo 😂 😂 😂 😂 😂 ., "jenga watu, tujenge watu kifikra!" POINT🔥🔥🔥🔥
  3. "tuna watu mbu mbu mbu.., mnajenga miundo mbinu lakini watu hawana uwezo wa kutumia zile infrastructure kuwasaidia.",
  4. "Badala ya kuka na kulaumu Kenya, tutengeneze mazingira mazuri sisi ni giant hapa"
  5. Tunataka viongozi wenye wako na vision ya miaka mia mbili mbele...,
 
Wacha wewe, the guy has spoken the truth na ako na akili kukushinda wewe mara zaidi ya milioni, ameongea fact! kwa hii clip yako anaonyesha fursa kibao munazo, wacha wewe! boss uliskiza ama unapost reply tu hovyo hovyo.., huyu anazungumzia jambo jema sana, infact ana support na ku expound reasoning yake pale bungeni,., boss kubali yaishe, sio kila wakati unapinga tu.., this guy is reasoning well.., wewe hapa hautoshi, patia huyu kura yako wacha ufala wewe.

Checkout his points, the guy ako sawa sana..,

  1. Mwalimu Nyerere ali focus kwa maendeleo ya watu, wanakua na sound mind, watu wenye uwezo wa kufikiri kimantiki..,
  2. Unajenga hospitali na vifaa na madaktari hakuna.., huduma hovyo, madarasa mnajenga ila wanafunzi wanalishwa bogus, fikra zenu humu ni dhahiri dogo 😂 😂 😂 😂 😂 ., jenga watu, tujenge watu kifikra! POINT🔥🔥🔥🔥
  3. "tuna watu mbu mbu mbu.., mnajenga miundo mbinu lakini watu hawana uwezo wa kutumia zile infrastructure kuwasaidia.",
  4. "Badala ya kuka na kulaumu Kenya, tutengeneze mazingira mazuri sisi ni giant hapa"
  5. Tunataka viongozi wenye wako na vision ya miaka mia mbili mbele...,
🤣🤣🤣. Wewe na huyo jamaa wote ni vichaa .. sasa utakua na madaktari+vifaa halafu hao wagonjwa watatibiwa chini ya mti au.? Infact uzalishaji wa madaktari pamoja na ununuzi wa vifaa tiba ulikua unaenda sambamba na ujenzi wa hizo hospitals, ukitaka uthibitisho upo..

Suala la ujenzi wa miundombinu ya barabara, reli, meli na BRT, hizi zote zilitekelezwa Ili ku easy transportation , wachina wako na statement moja wanasema "if you want development build roads first" and that's the reason hata serikali yenu inaminyana kujenga hizo infrastructures. Zingatia hii "huwezi link Industrial sector na agricultural sector pasipokuwa na miundombinu wezeshi, such as roads and railways..

Hiyo point namba tatu aliongea upuuzi na chili tu, kila aina ya transportation system Tz inaongozwa na waTz n we do better, hili hata mtoto mdogo aneza thibisha..

Hizo points zingine ni upuuzi wote na chuki kwa aliyekuwa mtawala since alifanya yote hayo anayoropoka hapo .
 
Arusha 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

20230829_170704.jpg
20230829_170455.jpg
20230829_170458.jpg
20230829_170601.jpg
 
Back
Top Bottom