Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

CCM semantics.
By Kenyan definition, almost all of Dar would be considered a slum.
Hilo wanajua, huwa wanajitoa ufahamu ama kujitia hamnazo tu, Dar ni hovyo sana.., CBD ndogo sana, imejazwa na apartments za waarabu na wahindi, wenzetu weusi wakikomaa uswahilini (uswazi villages in Dar).., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Yanajikokota.., wanangoja SGR tokea wakati wa Magufuli, 2023 inaelekea kuisha!😂😂😂😂.., miradi mengine yanakwenda kwa mwendo wa konokono, tatizo serikali kukosa hela 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

SGR waende washindane na Nairobi Terminus.
Do they even have anything in the pipeline that comes close to Nairobi Railway City?


View: https://youtu.be/pnZYGHGmwA4?si=l5cpimzvOEHbiYdo&t=29
 

Yes i sawa tarmac road 😅😅😅 mpaka magorofa ya matope nimeyaona

Screenshots_2023-08-23-18-21-42.png

Screenshots_2023-08-23-18-23-09.png
Screenshots_2023-08-23-18-23-25.png
 
Kisumu hata ukisimamisha iringa haitoboi achilia mbali morogoro 🤣🤣🤣🤣
Yaani kama tu Mwanza nje ya CBD hakuna mtaa kama Lolwe ndio utaje vijiji mnazo zitaja eti ni city.., uendazimu sio ugonjwa ni laana walai 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ..,
1692804717089.png

1692804737510.png

1692804790986.png
 

Attachments

  • 1692804718077.png
    1692804718077.png
    502.1 KB · Views: 8
😂 😂 😂 Some of these you're handpicking are private access roads.
The government tarmacs public roads. They are not 100%, but our estate tarmac network is at least 20 years ahead of TZ.
Hajakuelewa huyu, andika kwa kiswahili, na kama ameelewa atajitoa ufahamu wazi wazi., mwehu kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂, leo kazi ya Dodoma tumeimaliza..., hamna kitu, ni ka town tu, haijafika kuitwa city😂😂😂😂😂😂
 
another project in dodoma
View attachment 2726333
Jikaze kaka, Lolwe pia ilianza hivi, mtafika..,
Dodoma apartments under construction..., 😂 😂 😂 😂 😂 😂😂 itawachukua miaka ngapi kujaza apartments humu kama Lolwe ilivyo?😂😂😂😂😂😂😂😂
1692805072134.png

Lolwe estate..,apartments kibao...,
1692805237690.png

1692805217082.png

1692805327577.png
 
Hajakuelewa huyu, andika kwa kiswahili, na kama ameelewa atajitoa ufahamu wazi wazi., mwehu kweli😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂, leo kazi ya Dodoma tumeimaliza..., hamna kitu, ni ka town tu, haijafika kuitwa city😂😂😂😂😂😂

Uzi ni Dar vs Nairobi. Walikosa kabisa maendeleo Dar, wakaenda kutafuta back up Dodoma.
Tukatwanga zote pamoja 😂 😂 😂
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 issue sio kua nazo tu je zinamilikiwa na nani?? Manake kila mtu anajua middle class wa kenya ni yule mwenye uwezo wa ku rent bedsitter au 2bed room
Kwani eastlands nani wanaishi? waarabu na wahindi? ama wazungu?.., boss mko hovyo...,
Eastlands ya Dar vs ya Nairobi.., usijitoe ufahamu kaka.., sisi sio wenzenu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1692805823875.png

1692805778963.png

1692805724596.png

1692805851317.png

1692805940237.png

1692805955850.png

1692805996197.png
 
Battle za Waafrika Mitandaoni, ila Waafrika tuna vijimambo sana, hivi na races zingine nazo zina battle kama sisi? Inaonekana Mnigeria huwa ana battle na kila mtu kasoro wabongo tu….😅😅


3A35AA76-3F98-43D5-859C-F6CADC52854C.jpeg
 
Ni dhambi gani kubwa wakundustan walimkosea Mungu akawapa hii laana ya slums na ukapurwa niingie magotini nimlilie Mungu kwa niaba yao?

image_downloader_1674392505861.jpg
JamiiForums1678035084.jpg
tapatalk_893033227_456x262.jpg
FjDqfdmUoAA3bxC.jpeg
FjERZ7yX0AA1X7v.jpeg
 
Back
Top Bottom