The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Sasa kuna nn hapaThat is not South C you idiot,
This is South C
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()









Sasa kuna nn hapaThat is not South C you idiot,
This is South C
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()









Minimize your data consumptionThat is not South C you idiot,
This is South C
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
😂😂😂😂 Bila filters Nairobi huwezi kuangalia mara 2 kama sura ya marehemInanikera sana rangi ya miji yao, typical third world cities, sisi tulishatoka huko.
😂😂😂😂😂 Bus Stand za Wakunya ni vituko
Mtoto wa mama Samia..
Museven kaiweka hii nje kama kutusanua. Huyo dogo na genge lake wameenda huko in what capacity? If personal, ana miliki kampuni gani na tangu lini na ina uwezo wa aina gani kifedha wa kuundertake mradi of that magnitude?Museveni akae mbali na hili genge la makuwadi wa the globalist.
Geza Ulole hivi huyu Abdul Halim Hafidah Ameir ni nani na anamiliki kampuni ipi kuweza kuwa na uwezo wa kukutana na Museveni?Museven kaiweka hii nje kama kutusanua. Huyo dogo na genge lake wameenda huko in what capacity? If personal, ana miliki kampuni gani na tangu lini na ina uwezo wa aina gani kifedha wa kuundertake mradi of that magnitude?
Something haijakaa sawa hapa.
Hata simfahamu mzee...Geza Ulole hivi huyu Abdul Halim Hafidah Ameir ni nani na anamiliki kampuni ipi kuweza kuwa na uwezo wa kukutana na Museveni?
Simon Nenda ka Kariakoo kamuulizieGeza Ulole hivi huyu Abdul Halim Hafidah Ameir ni nani na anamiliki kampuni ipi kuweza kuwa na uwezo wa kukutana na Museveni?
Museveni ni wale wale mwenye mtoto generali UPDF, mke Waziri na binti yupo pia!Museveni akae mbali na hili genge la makuwadi wa the globalist.