muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,759
- 4,854
Mtafika huku lini nyang'au nyie!!
Mh wacha hiyo maneno fedha za EACOP zitatoka Total na humuambii kitu Macron labda Museveni agombane nae!Kuna uwezekano mkubwa Bomba la Mafuta Ujenzi ukasimamishwa
vijembe vya mama vimewakera!Nimeisoma hii and I have concluded kuwa hii article ni social political rubbish. Period.
Macron ni muumini kindakindaki wa LGBTQ, tatizo hawa wazungu wanatanguliza Sana haki za binadamu kuliko mambo mengine, pia Total ataogopa vikwazo vya Marekani juu yake.Mh wacha hiyo maneno fedha za EACOP zitatoka Total na humuambii kitu Macron labda Museveni agombane nae!
Daaah hueleweki kabisa mkuu, ngoja tu niachane na hizi mada zako tusije kuvunjiana heshima.Hivi mkuu tukisema tusipinge chochote kwasababu tunaingilia uhuru wa mtu kwenye hili suala la ushoga,usagaji, utoaji mimba, ukiangalia mbele ni nini kitatokea kwa kizazi cha mwanadamu?........
Mkuu hakuna lolote litakalotokea zaidi ya watu kuwa huru zaidi katika maisha yao. Haya mambo yameruhusiwa huko nchi za wenzetu zaidi ya miaka 50 iliyopita, umesikia Kuna tatizo lolote?, mbona maisha yao yanazidi kuboreka mwaka hadi mwaka kutuzidi?, Woga wako ndio tatizo, tatizo sio hayo uliyoyataja.
Kwanini huwa tunapinga mauaji. Ikitokea jamii moja, kiongozi mmoja akaidhinisha mauaji kiholela tusipinge kwasababu ni haki yake kwa kuwa akiua anafurahi sana,anapata raha mustarehe, ni haki yake kuua kwa vile hajaniua mimi wala ndg,rafiki au jamaa yangu[emoji2955].... I'm
Jibu; Haya ni mambo ambayo tulikubaliana wenyewe Kama nchi kwamba yapo ndani ya mipaka yetu, mtu yeyote atakayekwenda kinyume atakua ametuingilia ndani ya mipaka yetu, ila hatupaswi kuwahukumu Wala kuwakaumu watu ambao kwao wanaruhusu haya ambayo sisi huku tumeyakataza, nao wanayohaki ya kufuata katiba zao, tusiwaingilie.
Shida yake kubwa ni hataki kuona beberu akikosolewa au kusemwa mabaya yake yeye hilo halitaki 😅😅😅😅😅Mkuu ingekuwa hivyo basi duniani zisingewekwa sheria, kanuni na taratibu, mana kuna watu wao furaha yao ni kukesha bar lkn kuna muda bar zinatakiwa kufungwa.
Kuna watu wao kuvuta bangi ndiyo starehe yao na hawamsumbui mtu lkn kwa mujibu wa sheria za nchi yetu hawatakiwi kuvuta bangi.
Kuna watu dawa za kulevya ndio tulizo lao la moyo na hawamsumbui mtu yeyote wala kuingilia uhuru wa mtu yeyote lkn kwa mujibu wa sheria za nchi yetu dawa za kulevya hairuhusiwi.
Dah mpaka namuonea huruma...
Asipoangalia ile pipeline itageuka hewa!
Eti kua shoga ni haki za binaadamu😅😅 alaf anashabikia mwenyewe anaona amani kabisaDaaah hueleweki kabisa mkuu, ngoja tu niachane na hizi mada zako tusije kuvunjiana heshima.
Dah mpaka namuonea huruma...
Asipoangalia ile pipeline itageuka hewa!
Iwe kweli isiwe porojoPipeline iko chini ya mchina sasa hvi itakua hewa kivipi kwani hujui kama mfaransa alijitoa ? Kaamua kupambana na laana za hao mbwa wanaoangamiza dunia mwache apambane na africa nzima imuunge mkono ndio maana tunahitaji sana multipolar world
Developed kwao ni kuwa na fake/imitating life ambayo haipo supported na economic reality [emoji16]Hawa wajinga nadhani neno developed lina maana nyingine kwao.
Huu mradi upo chini ya Total ambalo ni kampuni la Ufaransa, ila pesa ndio wanaomba China, Sasa Kama serikali ya Ufaransa ikivunja mahusiano na Uganda na kuiwekea vikwazo, itawezekanaje kampuni lao kuendelea kuwekeza Uganda?Pipeline iko chini ya mchina sasa hvi itakua hewa kivipi kwani hujui kama mfaransa alijitoa ? Kaamua kupambana na laana za hao mbwa wanaoangamiza dunia mwache apambane na africa nzima imuunge mkono ndio maana tunahitaji sana multipolar world
Ulifanikiwa kwenda Muhimbili?Eti kua shoga ni haki za binaadamu[emoji28][emoji28] alaf anashabikia mwenyewe anaona amani kabisa
Ufaransa chini ya Macron haiwezi kivunja mradi! Jaribu kuchunguza jinsi wanavyowadindia EU Parliament labda kutokee Coup Uganda kama Niger!Huu mradi upo chini ya Total ambalo ni kampuni la Ufaransa, ila pesa ndio wanaomba China, Sasa Kama serikali ya Ufaransa ikivunja mahusiano na Uganda na kuiwekea vikwazo, itawezekanaje kampuni lao kuendelea kuwekeza Uganda?