ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,247
Hii ni movie ama ndio picha halisi namna jeshi lenu linachezewa? Nyie ndio kila siku mnajigamba kutrain na US Military na mnakufa kizembe namna hii kama kuku? Nimeumizwa sana, siwezi kumruhusu mwanangu ajiunge na jeshi la Kenya mpaka pale mtakuwa na Serikali inajielewa.
Plan wakati umeambiwa inarejea na over 144 has already aligned up.hii story since 2016 ni planning tu..
And yet the busiest road haipitishi more than 70k vehicles per day 2023!!!😂😂😂😂😂Ww ni chizi kabisa in 2012 dar alone ilikua ina over 1m vehicles 🤣🤣🤣👇👇👇👇
allAfrica.com
Home › stories
Tanzania: Number of Dar es Salaam Vehicles Alarms Magufuli
Ndio maana nakwambia hii mada tulishamalizana nayo chizi wewe nairobi is just 696km sq ambayo half of it ni national park na robo no misitu alaf robo ndio majengo na slums humo humo alaf unategemea worst traffic itaisha na nairobi alone ina population over 4.5m 🤣🤣
Noma sana , kwenye comment section kuna video inaonyesha loss of 4 Police vehiclesHii ni aibu zaid ya aibu (embarrassing)🤣
kwani dar ina barabara moja hio morogoro road inapitisha over 100k vehicles a day wachana na barabara zingine kama nyerere road au kilwa road au uhuru road etc tukiwaambia dar ni kubw amara tatu ya nairobi muelewe tunamaanisha nn 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣And yet the busiest road haipitishi more than 70k vehicles per day 2023!!!😂😂😂😂😂