toptorn
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 1,224
- 3,057
I heard those stories since before Tanzania started building its SGRKiherehere ichoboy01 hii habari mbona hutuletei huku

Mbona wanatumia nguvu kubwa sana kwenye hii issue....au walishasainishana kitambo?Kijana wangu ChoiceVariable waambie hawa jamaa zako waache upuuzi, kwanza sijui namba na majina yangu wameyatoa wap? Na wasilazimishe kukubaliana na matakwa yao. Afu hii mbinu walioitumia kuwalazimisha watu ndo inazid kumwangusha mama.
Chema chajiuza, kibaya chajitembeza!
View attachment 2702519
Hawezi kujibu, Russia accounts to only 1% of foreign investment in Africa
Labda utuambie hana mchango na kenya lakini sio africa mzee, ww tuambie sera zenu ni tofaut hapo sawa lakini sio africa out of 49 contries wameenda ispokua nchi nne wakiwemo na nyinyi wabinafsi ndio maana ukabila unawatafuna 😅😅😅Hebu tueleze wewe mjuaji urusi ana faida gani barani Africa apart na kutuma mercenaries na silaha?
Kisa nyinyi hamujashiriki basi muwafanye walioshiriki hawana akili serious??🤣🤣🤣Hawezi kujibu, Russia accounts to only 1% of foreign investment in Africa
Na hua munakua wakali mukiambiwa ukweli🤣Hebu tueleze wewe mjuaji urusi ana faida gani barani Africa apart na kutuma mercenaries na silaha?
We dwanzi hebu break down hio $23b uone ulivyo mjinga.. usitulazimishie huo ujinga wako wa kuabudu madikteta, urusi ana mchango mdogo sana barani Africa na sana sana kwetu Kenya. Trade value ya urusi na afrika haifiki hata 5% ya trade between africa na EU au uchina. Hatuna haja na huo uhusianoNa hua munakua wakali mukiambiwa ukweli
Hahaha hata kama sio kwenu kitendo cha kusamehe tu hamuwez kua nayo mpaka dunia inasmama kwa roho zenu mbaya zilizojaa ukabila 🤣🤣🤣🤣🤣We dwanzi hebu break down hio $23b uone ulivyo mjinga.. usitulazimishie huo ujinga wako wa kuabudu madikteta, urusi ana mchango mdogo sana barani Africa na sana sana kwetu Kenya. Trade value ya urusi na afrika haifiki hata 5% ya trade between africa na EU au uchina. Hatuna haja na huo uhusiano
Ukiachana na DODOMA government city, binafsi nilikua sijui kama DODOMA city center is this organized.. yo hapa kiukweli DOM haina comparison likija suala la city plan. 👇.
Hebu tueleze nyinyi mumesamehewa deni kiasi ganiHahaha hata kama sio kwenu kitendo cha kusamehe tu hamuwez kua nayo mpaka dunia inasmama kwa roho zenu mbaya zilizojaa ukabila
Kwasababu hamukwenda haibadilishi maana waliokwenda wanataka kufungua ukurasa mpya na russia ikiwemo economically, socially, politically etc yani mutakuja kuelewa dunia wapi inakwenda baada ya chupi zenu kujaa uharo na mikojo
Nilishakwambia ukiitaja china tu ujue nyuma ya technology yuko mrusi hahahaha

Hvi ww tanzania na urusi unaijua historia yake vzr ?? Hujui kama putin alipokua kijana aliwah kuja bagamoyo kwa mafunzo ya kijeshi au?? 🤣🤣🤣 ww unaifananisha tanzania na kenya kwenye uhusiano na urusi nchi kama libya na somalia zote zimesamehewa madeni huoni ni faraja kwa africa au nyinyi ni wabinafsi chakwenu ni chakwenu tu hamuna utu ndio maana wakat africa inatafuta uhuru mulijitenga na africa yote mukajifanya munajua sana biashara na tulitegemea labda mungekua level moja na singapore hvi ila sasa zimbabwe ina nafuu mara 100🤣🤣🤣🤣 according to world bank👇👇Hebu tueleze nyinyi mumesamehewa deni kiasi gani![]()
Huwez kujua historia ya tanzania na russia kwasababu akili zenu zimekaa kutukuza makabila na upuuzi 😅😅😅😅Hebu tueleze nyinyi mumesamehewa deni kiasi gani![]()
Hata uganda wamewazidi akili 🤣🤣🤣Hebu tueleze nyinyi mumesamehewa deni kiasi gani![]()
Huwez kujua historia ya tanzania na russia kwasababu akili zenu zimekaa kutukuza makabila na upuuzi 😅😅😅😅
Hvi ww tanzania na urusi unaijua historia yake vzr ?? Hujui kama putin alipokua kijana aliwah kuja bagamoyo kwa mafunzo ya kijeshi au?? 🤣🤣🤣 ww unaifananisha tanzania na kenya kwenye uhusiano na urusi nchi kama libya na somalia zote zimesamehewa madeni huoni ni faraja kwa africa au nyinyi ni wabinafsi chakwenu ni chakwenu tu hamuna utu ndio maana wakat africa inatafuta uhuru mulijitenga na africa yote mukajifanya munajua sana biashara na tulitegemea labda mungekua level moja na singapore hvi ila sasa zimbabwe ina nafuu mara 100🤣🤣🤣🤣 according to world bank👇👇
Facebook tena hahaha 🤣🤣🤣 wivu unakusumbua wewe chiziHio picha peleka Facebook kwa wajinga wenzako, 1975 Putin was 21yrs and still in university. Mnangawa was in prison, frelimo leaders returned to Mozambique.