Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂 cheki hiyo foleni ya mizigo inayotaka Tz kupeleka kwa hawa lazy neighbors. 👇.

🤣🤣🤣🤣🤣
Over 600 trucks transporting goods from Tanzania have been stuck at the Namanga border for more than a week, causing a massive traffic jam.

Truck drivers are complaining about what they call Kenya’s slow clearance process, which they say has caused them untold suffering and loss
 
Sasa wewe kwa akili yako unadhani telecommunication companies hawatataka ku-hire the top spot kuweka mast? halafu hiyo tower inakuja na meeting facilities na restaurants!
Kwa akili yako hizo telecom companies zimekupa taarifa kuwa wana mipango ya kuweka facilities zao kwenye hiyo tower? Tangazo la ujenzi limetoa fact moja pekee kuwa itakuwa tower yenye kimo kirefu zaidi Afrika na mimi lengo langu ni kutambua fursa zitakazopatikana kwenye huo ujenzi. Mtu anauliza swali la msingi lakini jitu zima kama Wewe unashindwa kutumia hekima kutoa jibu Au kukaa kimya kwasababu huna uhakika na kitu Unachozungumza. Huna staha mpuuzi Wewe Geza Ulole
 
Kijana wangu ChoiceVariable waambie hawa jamaa zako waache upuuzi, kwanza sijui namba na majina yangu wameyatoa wap? Na wasilazimishe kukubaliana na matakwa yao. Afu hii mbinu walioitumia kuwalazimisha watu ndo inazid kumwangusha mama.
Chema chajiuza, kibaya chajitembeza!
Screenshot_20230730-000134_Messages.jpg
 
Kwa akili yako hizo telecom companies zimekupa taarifa kuwa wana mipango ya kuweka facilities zao kwenye hiyo tower? Tangazo la ujenzi limetoa fact moja pekee kuwa itakuwa tower yenye kimo kirefu zaidi Afrika na mimi lengo langu ni kutambua fursa zitakazopatikana kwenye huo ujenzi. Mtu anauliza swali la msingi lakini jitu zima kama Wewe unashindwa kutumia hekima kutoa jibu Au kukaa kimya kwasababu huna uhakika na kitu Unachozungumza. Huna staha mpuuzi Wewe Geza Ulole
Wewe ni taahira! Ficha ujuaji!
 
Back
Top Bottom