Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baada ya timu za Kenya kuchagua Tanzania kutokana na kuwepo kwa viwanja vizuri, DRC nao wanakuja Bongo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
F10WYgvWwAQMCTt.jpg
 
Wakundustan kwenye rail toka Hamna SGR, Hebu tuonyeshe hata Centimeter moja ya reli, mpaka sasa hivi wamehamia kwenye speed baada ya kumwona nyoka Mkunduatan ni zaidi ya Kinyonga anabadilika kama hali aya hewa
Na hii ndio thread hawaipendi maisha kwasababu imefichua aibu zao wamekua tena ni watu wasioweza kudanganya na wamekua waoga sana lakini kwa upande mwengine ndio thread pekee iliowafungua macho na wakatambua kumbe jua halichomozi kenya pekee bali ni kila nchi duniani ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Back
Top Bottom