Mkuu, Mimi ninaamini kwamba wewe ni msomi mzuri na ukweli unaujua vizuri Sana, tatizo lako kubwa ni "bias against Western countries.
Mfano mzuri ni haya maandamano France vs Kenya. Wakati maandamano huko France yamesababisha uharibifu mkubwa na kusababisha hasara x 1000 ya Yale ya Kenya, hakuna vifo vyovyote vilivyosababishwa na vyombo vya Dola dhidi ya waandamanaji, police wamezuia maandamano bila kutumia silaha za moto, bila kuteka watu na kufanya "intimidation acts" kwa mtu yeyote.
Huku Kenya Kila siku watu wanauliwa na hakuna mtu hata mmoja anayewajibishwa Wala hakuna uchunguzi wowote unaofanywa na serikali, yaani serikali imehalalisha kwamba mtu yeyote atakayefanya maandamano hana haki ya kuishi Kenya.
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app