joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621

tuu







inawezekana kuna mtanzania kachukua tenda kuwatengenezea plate noTanzanians get excited and start posting simple cars here. Please Kenya has many and bigger cars. Just relax.
View attachment 2686015
Hiki ni kichekesho cha millenniumRutto ametangaza ajira 1M kwa wakenya huko Uarabuni
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Siyo muongo inawezekana hata geographia ya country yake haijui ama yupo vijijini huko nairobi huwa anaisikia tu na kuiona kwa picha,Ruiru ni kiambu county so??ukiambiwa nairobi ni ndogo sana kubali
696km sq my friend au ni uongo
View attachment 2685254
Na mlolongo iko machakos county kwann unakua muongo hvi ukidanganya watu unapata nn au unashiba ???
View attachment 2685257
Ishu siyo kudanganya,huyo hakuna anachoelewaTangu lini mukaendesha magari left hand side hvi nyinyi mbona mumekaa kama kondoo kazi kudanganywa na kuswagwa na wanasiasa
Yani ukitaka kunidanganya mm ufanye kazi kweli kweli yani ujitoe haswa
View attachment 2685266
Hakuna siasa hapo ila ni uhalisia wa maisha tu yanawafinyaAsante kwa kufuatilia siasa zetu.
Huyo jamaa alikuwa namba tisa wa timu ya taifa ya kesha
Akili za wakenya tuna argue nao humu zipo hivyo kama hao chokoraaWananchi wa nchi yenye GDP kubwa in whole EAC
View attachment 2685932
Rutto ametangaza ajira 1M kwa wakenya huko Uarabuni
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hakuna jipya Hapo,Tanzania ilishatoka huko kitambo sana.View attachment 2686680View attachment 2686681View attachment 2686682View attachment 2686683kwenu laikipia, Kenya is very beautifulView attachment 2686684