REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,229
- 10,912
Kama Kuna uwezekano huo ni bora tu kwenda na utaratibu huo.Zambia ndio wanatukwamisha tukitaka ku upgrade systems kuongeza ufanisi mpaka tujadiliane nao wakubali ndio maana Mwakyembe alisema ni bora kila mtu abaki na kipande chake.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 kwamba anaenda kupiga kitu VEGETABLE SOUP? 🤣🤣🤣🤣Huyu mama usikute anaenda kuchemsha hayo maua kama sukuma 🙂 dah mashakahola hawapumziki mara zakayo mara baba mara Makenzie, ninyi mna laana
View attachment 2686199
Njaa mkuu, wanapigania ugaliHivi ni nini kimewatokea hawa jamaa? Chanzo cha hizi fujo ni nini?





Hata huoni aibu wewe nyang'au? Yaani uko tayari kufa na "tai shingoni"🤣🤣🤣Enyewe internal affairs yetu inawasumbua sana.......all in all Kenya reigns supreme in this region.Si hiyo ukweli mnatambua
Kwao maisha ya maskini hayana thaman mbele ya pesa na ugaliHata huoni aibu wewe nyang'au? Yaani uko tayari kufa na "tai shingoni"🤣🤣🤣