kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
tuusan ushawahi ishi kariobang?Kariobang Nairobi
![]()

tuusan ushawahi ishi kariobang?Kariobang Nairobi
![]()

katika ubora wako...

Nmeikuta mahali iyo picha I was like daaaamntuusan ushawahi ishi kariobang?![]()




Badae akasema yeye sio shoga...izo ni tabia za kingese aachekatika thread moja inayozungumzia habari za simba shoga huko kenya,kuna member mmoja mkenya kwa ID ya ian Cruz kaamua kutamka wazi kuwa yeye ni shoga na ana feel proud kutokana na hali hiyo.
![]()
![]()
Gay lions spotted in Kenya's Maasai Mara
huyu ni shoga,comment ya kwanza aliiandika with confidence akidhani kwamba angepata uungwaji mkono na wakenya wa jf.Badae akasema yeye sio shoga...izo ni tabia za kingese aache
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Kuna wengine wakiona hivi wanatamani kuleta ng'ombe wachunge.selous game reserve...largesr reserve of the world in tz
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuja Kenya. Transportation na Visa arrangements, niachie mimi. Ukiwa tayari ni-beepNaondoka kiukweli
Mwezi huu nitawasili Dar
Visa ya nn sasa????😀😀😀😀Kuja Kenya. Transportation na Visa arrangements, niachie mimi. Ukiwa tayari ni-beep

Sisi tuliuza ng'ombe wao! Huu ndio unafiki wa jirani zetuHio place shida ni ranchers. Kenyan whites wako na mashamba makubwa sana huko na wamekuwa in conflict na Wamasai na Wasamburu. Kuna wakati some white guy was killed na another rich woman, Kuki Gulliman shot. I guess these rich white ranchers ndio wanalipa polisi wauwe hao mifugo. Lakini this is political because some Maasai MP alikuwa ana incite Wamaasai waingie kwa mashamba ya wazungu hao forcefully and bringing tribal(racial) isht in the area. Those Maasai I guess want the whites gone but sioni those whites going anywhere coz most of them wameishi hapo for generations, guess late 1800 na early 1900s. But they own huge chunks of land which is not good to the locals. But as long as one has the Kenyan citizenship dont care the colour ama religion ama whatever hafai kuwa anaharrasiwa, this is the 21st century.